Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiba vipi?Unawaza kuiba tu.
Wewe nenda kufanya kazi maslahi yatakja kwa kufanya shughuli zako nje ya utumishi. Kama wewe lengo lako ni maslahi badala ya kutanguliza majukumu yatakayokupa hayo maslahi basi ni bora uache kazi.Jamani tujikite na kichwa cha habari hapo juu. Wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?
Kuiba vipi?
Acha kukariri jomba. Nje ya mshahara kuna masilahi mengi tu halali.Nje ya mshahara una maanisha nini!!? Wakati watumishi wa umma wanapaswa kuishi na mshahara wao!!?
Yes, yupo aliyeitwa zote mbili. Shida zote zimepangiwa muda mmoja wa usaili hivyo anahitaji kuchagua moja.Kuna mtu ameitwa post zote mbili? Kuna dogo kaomba zote mbili, kapigwa chini moja kaitwa custom sijajua shida ni nini
Sio kweliYes, yupo aliyeitwa zote mbili. Shida zote zimepangiwa muda mmoja wa usaili hivyo anahitaji kuchagua moja.
Wabongo bhana! Sasa unabisha nini? Wewe ndio unayepanga majina? Basi kama wewe ndio unayepanga majina umekosea, kuna mtu umemchagua kwa hizo kada zote mbili.Sio kweli
Hakuna kwenye maslahi labda kama wewe ni mtu wa dhulma.Jamani tujikite na kichwa cha habari hapo juu. Wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?
Acha kukariri jomba. Nje ya mshahara kuna masilahi mengi tu halali.
Hizo stahiki ndio zenyewe. Kumbe unauliza wakati jibu unalijua?Embu tujuze tujue. Maana kwenye barua/mkataba wa ajira hawataji masilahi ya mtumishi/mfanyakazi nje na mshahara pamoja na stahiki zako zingine (kwa wachache).