Hizo mixology tuziache kwanza niambie kuhusu stability bana.we mdada unajua mambo yote hayo unajua hapo unaongelea mambo ya vehicle aerodynamics and stability, I thought women and mechanics do not mix
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Nina sababu basi Mkuu? 🤣kwa nini huipendi noah,road tourer old model cc 1990,nipe sababu mkuu,,,kweli kila shetani na mbuyu wake...
i think wewe ni timu ,,ist,vitz,starlet,nissan march etcNina sababu basi Mkuu? [emoji1787]
Wasiwasi wangu ni stability... Na pia muonekano wake kama Mkate uliookwa vibaya. Lol.
Ila Noah zinauzika. Sokoni hazipo kama Harrier ama Xtrail. Hazikosi soko hata siku Moja. Spea zipo kwa wingi pia.
Enjoy your ride man. Don't pay attention to me.
Kama una noti kaka wewe nunuwa ndinga, hayo ma research mengi yatakupoteza tu, vuta mzigo, enjoy, period..Nataka kununua toyota Noah, 2wd,1990cc, sasa kuna, Field tourer, Road tourer, Super extra limo, Exurb, kwa wazoefu ipi ni nzuri kwa, kula mafuta, kutulia barabarani, muonekano wa board nje na ndani.
Je, spea zinaingiliana?msaada wataalamu.
A machine can be perfect but not a person.Kama una noti kaka wewe nunuwa ndinga, hayo ma research mengi yatakupoteza tu, vuta mzigo, enjoy, period..
Halafu sisi wanaume bana! Kwenye gari uchunguzi na umakini wa kufa mtu, wake zetu wala hatuhangaiki kivile, na mie nakubali ni mhanga wa swala hili🤐, boys with their toys hey?! 😇😇😇
sometime ni vizuri kujua kitu unachotaka kununua,hasa cha hela nyingi kidogo,kwa kuuliza kwa watalaam na wazoefu(utafiti mdogo),kuna rafiki yangu mtu wa kuunga unga tu,alinunua gari 2milion,kumbe ni 4000cc,alijuta sana..Kama una noti kaka wewe nunuwa ndinga, hayo ma research mengi yatakupoteza tu, vuta mzigo, enjoy, period..
Halafu sisi wanaume bana! Kwenye gari uchunguzi na umakini wa kufa mtu, wake zetu wala hatuhangaiki kivile, na mie nakubali ni mhanga wa swala hili[emoji850], boys with their toys hey?! [emoji56][emoji56][emoji56]
Really?i think wewe ni timu ,,ist,vitz,starlet,nissan march etc
weee acha kumdanganya mwenzioChukua noar new model zipo bomba sana
sr 40 ni moto inapiga mzigo wa kutoshakwa nini huipendi noah,road tourer old model cc 1990,nipe sababu mkuu,,,kweli kila shetani na mbuyu wake...
babe jamani mbona unatuponda na gari zetu za kazi!Hivi Noah stability yake ipoje?
Nikiiangalia ile streamlining ya kuipa stability sioni kwa shepu lile.
I'd really love to know especially kwenye routes za mkoa mfano Dar Iringa/Mwanza.
Sina imani nazo kabisa
Hii ndiyo gari.Achana na hilo kopo la castlesr 40 ni moto inapiga mzigo wa kutosha
Hapo umechanganya models za Noah na miaka ya manufacturing ni tofautiNataka kununua toyota Noah, 2wd,1990cc, sasa kuna, Field tourer, Road tourer, Super extra limo, Exurb, kwa wazoefu ipi ni nzuri kwa, kula mafuta, kutulia barabarani, muonekano wa board nje na ndani.
Je, spea zinaingiliana?msaada wataalamu.
noah zote old model 2wd,ni sr 40,na 4wd ni sr 50,haijalishi ni super extra limo,exurb,road/field tourer,na zote ni petrol,na cc zake ni 1998cc,,,cr40 na cr 50 ni za diesel na cc zake ni 2298cc,,wataalamu karibu mnisahihishe...sr 40 ni moto inapiga mzigo wa kutosha
Hii ndiyo gari.Achana na hilo kopo la castle
Gari gani hio mkuu?sometime ni vizuri kujua kitu unachotaka kununua,hasa cha hela nyingi kidogo,kwa kuuliza kwa watalaam na wazoefu(utafiti mdogo),kuna rafiki yangu mtu wa kuunga unga tu,alinunua gari 2milion,kumbe ni 4000cc,alijuta sana..
sasa mkuu shida yako ni hela au shape?ila kitimoto mnamuonea sana,mpaka anakonda...Kuna baadhi ya mikoa ukiwa na noah ni dili sana..
Inaingiza pesa nzuri..
Old model nimeona zinavumilia sana shida..
Tatizo ni ile shape inakuwa kama kitimoto..[emoji119][emoji119]
Kitimoto amefanyaje tena..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]sasa mkuu shida yako ni hela au shape?ila kitimoto mnamuonea sana,mpaka anakonda...
Vp nikienda kuiinua , Ni kipi kitapungua ktk Gari?Nimemiliki zote hizo niamini mimi mkuu, road tourer bampa zake zimeshuka zaidi chini kitu kinachoifanya iwe chini so ukifunga hizo rims size 15 bado hujatatua tatizo coz noah mostly tyre size ni 14 na 15 ukifunga kubwa ili iwe juu utapoteza muonekano wake na stability.
unaiinua kwa kutumia nini mkuu.Vp nikienda kuiinua , Ni kipi kitapungua ktk Gari?