Acha kudanganya watu kuwa zinasumbua gear box huo ni ushamba na ulimbukeni.Hizi gar Ractis wabongo wanazikosea oil zake tu wanapenda kitonga.Ila ukiwa makini kuweka oil yake gari haisumbui yaan gari isisumbuwe japani ije kusumbuwa bongo huoni kama kuna tatizo.Acheni kutisha watu.
Sent from my SM-G920F using
JamiiForums mobile app