Kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?

Kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?

TVs ina sound taamu hivi kama ya Baja yaani fully mzuka... Hero dawn imepooza sauti yake yaani ipo kimya kimya haina fujo sauti yake ipo kama pikipiki ya pursal kama unazijua... Kwahyo chaguo lako wewe hapo... Mimi nishatumia zote na nimeipenda Sana TVs kuliko pursal kwasabab Mimi napenda fujo fujo sanaa nikiwa barabaran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tvs mkuu ina sound poa sana sio hiyo nyingine ipo kimya kimya mpaka mtu unaweza kumgonga kwa kutoskia hata mlio kama kuna pikipiki inapikuja
 
Shukran kwa michango yenu lakn naona mmezungumzia sauti kepee ...vp kuhs
.Uimara wa engine
.muonekana(body appearance)
.upatikanaji wa spare na gharama zake
 
Mkuu unafananisha palsar na Tvs hlx
Pulsar ni mashine ka TVS hlx kanasura mbaya siti kama mkate afadhali ya boxer....
TVs ina sound taamu hivi kama ya Baja yaani fully mzuka... Hero dawn imepooza sauti yake yaani ipo kimya kimya haina fujo sauti yake ipo kama pikipiki ya pursal kama unazijua... Kwahyo chaguo lako wewe hapo... Mimi nishatumia zote na nimeipenda Sana TVs kuliko pursal kwasabab Mimi napenda fujo fujo sanaa nikiwa barabaran

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hero haitumii mafuta mengi Kama TVs
Hero ni nyepesi inachanganya haraka na haina kilo nyingi Kama imezima na unaisukuma.
Hero haina sauti kubwa na haitetemi
Bei ya hero ni nafuu kidogo kuliko tvs
Changamoto za hero
Spare zake no chache na pia ghali kdogo ingawa ukiweka au kubadili hadi unasahau
Haipendi uibebeshe mizigo mizito
Haihimili mazingira magumu Kama ya shamba na hata Kama ni boda ni kwa mjini tu na sio sehem yenye Barbara mbovu.
Nb. Kama ni kwa ajili ya biashara nunua TVs na Kama ni kwa matumiz binafsi au ya kampuni nunua hero
 
Hero haitumii mafuta mengi Kama TVs
Hero ni nyepesi inachanganya haraka na haina kilo nyingi Kama imezima na unaisukuma.
Hero haina sauti kubwa na haitetemi
Bei ya hero ni nafuu kidogo kuliko tvs
Changamoto za hero
Spare zake no chache na pia ghali kdogo ingawa ukiweka au kubadili hadi unasahau
Haipendi uibebeshe mizigo mizito
Haihimili mazingira magumu Kama ya shamba na hata Kama ni boda ni kwa mjini tu na sio sehem yenye Barbara mbovu.
Nb. Kama ni kwa ajili ya biashara nunua TVs na Kama ni kwa matumiz binafsi au ya kampuni nunua hero
 
Back
Top Bottom