kati ya ufundi wa umeme wa magari na umeme wa majumba upi unalipa zaidia?

kati ya ufundi wa umeme wa magari na umeme wa majumba upi unalipa zaidia?

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Habari zenu ndugu wanajamvi….

Usukaji wa umeme wa magari na usukaji umeme wa majumba na viwanda ni vitengo viwili katika fani ya umeme kwa maana nyingine naweza kusema kitengo chochote ambacho mtu atadeal nacho bado atakuwa ana julikana kama mtaalamu wa umeme.

Naamini humu kuna wataalamu na wazoefu waliobobea katika fani mbalimbali kama bahari ilivyo na aina nyingi za samaki,ni matumaini yangu hata katika fani hii ya umeme na vitengo vyake hawawezi kukosekana wataalamu .

Niende kwenye swali ,kati ya vitengo hivi viwili vya umeme nikipiki kinalipa zaidi hususani kwenye sekta ya ajira binafsi? Kwa heshima na taadhima nawasilisha.
 
Kama unasoma soma umeme wa magari tuu, huu wa majumba wapo wengi pia wanafanya ambao ni non-professinal , ni mtazamo wangu
 
Kama unasoma soma umeme wa magari tuu, huu wa majumba wapo wengi pia wanafanya ambao ni non-professinal , ni mtazamo wangu

nashukuru kwa mtazamo barikiwa sana ndugu
 
Umeme wa magari ndo kazi ya maana zipo kila Siku hizo kazi but wapi wachache sanaaa.
 
Kazi nyingi ni za kurepair ubovu au installation ya gari zima
Umeme wa magari ndo kazi ya maana zipo kila Siku hizo kazi but wapi wachache sanaaa.

Kazi nyingi ni za kurepair ubovu au installation ya gari zima
 
Back
Top Bottom