Ninasikitika kusema kwamba huyu jamaa nilimchukia na kufikia mahali kumwombea Mayele achukue kiatu ijapo mimi si mpenzi wala mihogo.
Unaweza kujiuliza kwa nini nilifikia kumchukia huyu jamaa?
Ukiangalia mechi za Simba anaonekana alizikamia sana na kiasi kwamba hata jambo dogo tu likitokea alishikwa na hasira hadi unaona chuki kabisa dhidi ya wachezaji wa Simba.
Kama kuna waliolipwa ili wafanye juu chini waifunge Simba huenda naye alilipwa kwa kazi hiyo.
Hali ilikuwa tofauti sana akicheza na utopolo, hapo ungeweza kuona hata uso umetulia na hana zile hasira na chuki alizokuwa anaonesha kwa wachezaji wa Simba.
Sitaunga mkono timu kama Simba kusajili mtu kama yule. Nimesikia kwa sasa hana furaha na timu yake.
Aende tu timu nyingine kwani hana 'attitude' ya kucheza Simba.
Mchezo ni furaha na siyo mihasira ya kijinga ya kutumwa na kuonesha chuki za wazi
Unaweza kujiuliza kwa nini nilifikia kumchukia huyu jamaa?
Ukiangalia mechi za Simba anaonekana alizikamia sana na kiasi kwamba hata jambo dogo tu likitokea alishikwa na hasira hadi unaona chuki kabisa dhidi ya wachezaji wa Simba.
Kama kuna waliolipwa ili wafanye juu chini waifunge Simba huenda naye alilipwa kwa kazi hiyo.
Hali ilikuwa tofauti sana akicheza na utopolo, hapo ungeweza kuona hata uso umetulia na hana zile hasira na chuki alizokuwa anaonesha kwa wachezaji wa Simba.
Sitaunga mkono timu kama Simba kusajili mtu kama yule. Nimesikia kwa sasa hana furaha na timu yake.
Aende tu timu nyingine kwani hana 'attitude' ya kucheza Simba.
Mchezo ni furaha na siyo mihasira ya kijinga ya kutumwa na kuonesha chuki za wazi