KATI YA WAKUU WA MIKOA 35, DAR IMEPATA SUPER RC

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Mkoa wa Dar es salaam, ambao ndio uliozaa jina la Bongo na kusababisha nchi yetu iitwe Bongoland (Nickname), hakika safari hii umepata mkuu wa Mkoa mwenye bongo kuliko watangulizi wake wote kwa sifa zifuatazo:-
1.Uthubutu
2.Ubunifu
3.Kuanzisha jambo na kulisimamia
4.Ushirikiano na wenzake
5.Uchapakazi
6.Uwajibikaji
7.Elimu
8.Uwezo wa kukabili changamoto
9.Utii kwa walio juu yake
10.Kuwajibika bila kujali itikadi
 
Jamaa ana jitahidii japo ana mapungufu yke ila ameonyesha msimamo licha ya kupingwa mara kwa mara amebaki imara kusimamia anacho amini
 
Jamaa ana jitahidii japo ana mapungufu yke ila ameonyesha msimamo licha ya kupingwa mara kwa mara amebaki imara kusimamia anacho amini
Kweli mkuu, ni miongoni mwa maRc wanaokaa vizuri na wapinzani wao. Hana visasi.
 
Bashite au yupi? Nyie elimu yake mnaijulia wapi wakati yeye mwenyewe anaona aibu kuizungumzia? Na hebu tuwekeeni idadi ya mambo aliyoyaanzisha,akayasimamia na kuyakamilisha kwa ufanisi? Eg madawa ya kulevya,usafiri bure kwa waalimu,machangudoa,nk? Mi nakumbuka operesheni aliyoifanya kwa ufanisi ni ile ya kuvamia clouds kwa mitutu! Basi!
 
Dah... maRC 35? Hebu tuwekee hiyo list....kwa ajili ya kumbukumbu tu....[emoji13] [emoji41]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilikuwa sijaelewa.kumbe n jukwaa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…