Na maprofessa 41 ni wahaya tu, sasa ukiondoa wahaya wakirudi kwao uganda Tanzania itabakiza maprofessor wangapi?Kwa mujibu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Naibu Waziri wake Mh. Juma Kipanga, Tanzania Ina Maprofesa kamili 63 pekee (full professors). Pia Tanzania Ina Associate Professors 163 nchi nzima.
Hivyo inaonekana Tanzania kuwa profesa sio Jambo la mchezo. Pia ukigawanya kwa kozi zilizopo Tanzania, utakuta kila kozi Ina full profesaa watatu Kama sio wawili. Hivyo, tujitahidi kusoma ili kuziba pengo la hao Maprofesa wakistaafu.
Kwa mujibu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Naibu Waziri wake Mh. Juma Kipanga, Tanzania Ina Maprofesa kamili 63 pekee (full professors). Pia Tanzania Ina Associate Professors 163 nchi nzima.
Hivyo inaonekana Tanzania kuwa profesa sio Jambo la mchezo. Pia ukigawanya kwa kozi zilizopo Tanzania, utakuta kila kozi Ina full profesaa watatu Kama sio wawili. Hivyo, tujitahidi kusoma ili kuziba pengo la hao Maprofesa wakistaafu.
Umeandika ujinga.Na maprofessa 41 ni wahaya tu, sasa ukiondoa wahaya wakirudi kwao uganda Tanzania itabakiza maprofessor wangapi?
Upi tena mkuu kwani wewe utanii?Umeandika ujinga.
Hatari Sana mkuu.Na maprofessa 41 ni wahaya tu, sasa ukiondoa wahaya wakirudi kwao uganda Tanzania itabakiza maprofessor wangapi?
Kwa elimu hii ya TANZANIA..mbona hao wengi sanaaa ..... Walaitakowa wa5 au 6 tu ....Kwa mujibu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Naibu Waziri wake Mh. Juma Kipanga, Tanzania Ina Maprofesa kamili 63 pekee (full professors). Pia Tanzania Ina Associate Professors 163 nchi nzima.
Hivyo inaonekana Tanzania kuwa profesa sio Jambo la mchezo. Pia ukigawanya kwa kozi zilizopo Tanzania, utakuta kila kozi Ina full profesaa watatu Kama sio wawili. Hivyo, tujitahidi kusoma ili kuziba pengo la hao Maprofesa wakistaafu.
Sidhani Kuan ngazi nyingi katikati. Halafu Kuna gap ya miaka kutoka ngazi moja kwenda nyingine.Sifa ya kuwa professor ni kufelisha wanafunzi
Punguzeni dharau. Kuwa Professor Tanzania sio kitu kidogo. Nenda kwenye academia utaona.Critical thinking sio lazima uwe professor, critical thinking wengi ni wale ambao hawajasoma
Wakati mnakandya msisahau MUHAS ni top university kuliko hizo za KenyaTukiambiwa Tanzania ni Nchi ya wajinga hatutakiwi kubisha.
Yaani Taifa lenye watu takribani Milioni 65 linakuwa na Maprofesa 226 huku Full Professors Wakiwa 63 na Associate Professors Wakiwa 163 tuu,na hizi ni takwimu za 2023.
Tukilinganisha na Wenzetu Kenya wao wana maprofesa 1,619 Kwa takwimu za 2019.Kati Yao Full Professors Wakiwa 710 na Associate Professors Wakiwa 979.
Kiufupi Tanzania ni ya Mwisho level Moja na Burundi Kwa kuwa na jamii yenye Elimu Duni(Mbumbumbu) Kwa Kanda ya hapa Africa Mashariki..
Anaetakiwa kubeba aibu hii kwa sehemu kubwa ni Hayati Mwalimu Nyerere maana huyo bwana yeye hakutaka kabisa ku priotise Elimu Kwa sababu anazozijua yeye na in short ni sababu za Kisiasa kuogopa challenges kutoka Kwa Wasomi ndio sababu aliwatia kizuizini na wengine wakakimbilia uhamishoni.
Hakuna shule Mpya alijenga ukiacha za wakoloni Wala kuhangaika kuwaendeleza watu kielimu.Kitu pekee alichofanya ni kuwapa watu Elimu ya UPE waweze kusoma na kuandika Kwa level ya basic education tuu.
Wanyime watu Elimu Ili uweze kuwatawala.Hii tabia imekuwa inafanywa sana na Viongozi wa lile Dhehebu.Bila JK na Sasa Samia kupanuka Elimu ,Tanzania itaendelea kuwa na watu wajinga ambao wanalishwa propaganda na Watawala.
Mathalani JK ndio alianzisha na kukuza sana shule za Sekondari Kila kata,akaalika private sector kuwekeza kwenye Elimu na awamu yake ndio kulianzoshwa vyuo vikuu vingi sana.
Baada ya hapo Rais Samia nae Kwa Sasa anajenga maelfu ya miundombinu ya Elimu,amewaondoa Watoto wa kike kunyimwa Elimu Kwa visingizio vya mimba na anajenga Veta Kila Wilaya na vyuo vikuu Kwa Kila Mkoa ambao hauna Chuo Kikuu walau tuweze kushindana na Dunia badala ya kuogopa Wageni.
My Take
Dunia ya Sasa bila Elimu na maarifa ni kunidanganya,tupeleke Watoto kupata Elimu badala ya kuogopa Wageni Kwa visingizio visivyo na msingi.
---
Dodoma. Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Dk Oscar Ishengoma amehoji idadi ya maprofesa wanaozalishwa nchini na wale wanaostaafu, huku Serikali ikisema hadi kufikia mwaka 2022, Tanzania ilikuwa na maprofesa 226.
Mbunge ataka juhudi za kuongeza maprofesa
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga, amesema: “Profesa ni ngazi ya kitaaluma, ambayo mhadhiri au mtumishi wa taasisi za elimu ya juu huifikia baada ya matokeo ya kazi za kitaaluma ikiwemo kufanya machapisho na ufundishaji,” amesema na kuongeza;
“Hivyo kupanda cheo kwa mwanataaluma kunatokana na jitihada za mhusika katika ufundishaji, kufanya tafiti na kuchapisha maandiko yake katika majarida yanayokubalika kitaifa na kimataifa.”
Kipanga amesema kuongezeka kwa idadi yao kunategemea zaidi jitihadi za mtu binafsi katika utekelezaji wa majukumu yake na kukubalika kwa jitihada hizo kwa wanataaluma wenziwe kwa kuzingatia miongozo waliyojiwekea.
Amesema hadi kufikia mwaka 2022 tulikuwa na jumla ya maprofesa 226, kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki (Associate Professors) na 63 ni maprofesa kamili (Full Professors).
Amesema suala la kustaafu linahusu zaidi vyuo vikuu vya umma ambapo umri wa kustaafu ni miaka 65.
Amesema kwa takwimu za mwaka 2022 idadi ya maprofesa kamili waliostaafu ni wanne na wanaotarajia kustaafu kwa mwaka 2023 ni watano, mwaka 2024 ni wawili na mwaka 2025 ni sita.
Kipanga amesema maprofesa washiriki waliostaafu kwa mwaka 2022 ni mmoja na wanaotarajiwa kustaafu kwa mwaka 2023 ni 18, mwaka 2024 ni wanne na mwaka 2025 ni sita.
Katika swali la nyongeza Ishengoma ametaka umri wakustaafu kwa maprofesa kuongezeka kutoka miaka 65 hadi 70, huku pia akihoji kama kuna mpango wa kuongeza maslahi kwa maprofesa ili kuvutia vijana wengi kusoma kufikia ngazi hiyo ambako kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wanahitajika 161 lakini wapo tisa tu.
Akijibu swali hilo nyongeza, Kipanga amesema kuwa suala la kuongeza umri limechukuliwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na suala la maslahi wamekuwa wakiendelea kuongeza.
Mwananchi
Huwezi kuwa Professor uchwara Tanzania. Kuna vigezo vingi Sana. Ndio maana ni wachacheHao maprofesa wenyewe naamini wengi wao ni "uchwara".
wanastaafu sasa hao maprofesa,,hawataki hata !!!!Kwa mujibu wa wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Naibu Waziri wake Mh. Juma Kipanga, Tanzania Ina Maprofesa kamili 63 pekee (full professors). Pia Tanzania Ina Associate Professors 163 nchi nzima.
Hivyo inaonekana Tanzania kuwa profesa sio Jambo la mchezo. Pia ukigawanya kwa kozi zilizopo Tanzania, utakuta kila kozi Ina full profesaa watatu Kama sio wawili. Hivyo, tujitahidi kusoma ili kuziba pengo la hao Maprofesa wakistaafu.
SUA Ina asilimia 50 ya maprofessa wa hii nchi.Huo ni Uongo Maana SUA peke yake ina Maprofesa wengi sana,kwa data za mwakajuzi Walikuwa wanakaribia 100.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Acheni kujifariji na wajasiariamali. Kuwa Professor kwa Tanzania sio mchezo ndio maana wapo 63 pekeeHuku Kijijini kwetu Kuna jamaa hajasoma anafuso tatu zinatusaidia kwenda mjini.sisi tunamuona Kama ni zaidi ya profesa.
Unabishaana na serikali? Halafu SUA wengi ni Associate Profs.Huo ni Uongo Maana SUA peke yake ina Maprofesa wengi sana,kwa data za mwakajuzi Walikuwa wanakaribia 100.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Una uhakika?. Shida ya nchi hii sio Maprofesa Bali chama tawala.Hawana msaada wowote
Ujinga wa baadhi ya Maprofesa hauufanyi uprofesoor kuwa mbaya.Hata wangekuwa 3,000.000 wana msaada au umuhimu gani? Akina Mkumbo wamerubuniwa, wengine wanauza bandari, wameacha kujikita kwenye majukumu yao ya kitaaluma wamekimbilia siasa wanauza nchi