Teh teh Nifah umenielewa ndivyo sivyo ,wacha tu nisichukue hii compliment bure ,Jokate sio tu kwamba ni photogenic bali ana sifa za zaidiWewe ndio unajua sasa maana ya photogenic, wengine wamecomment kwa ushabiki na kufuata mkumbo tu.
Wema yuko vizuri zaidi kwenye suala la photogenic.
Tupe majibu mkuu
We we umenichekesha. Mmoja ukimpa 95% mwingine inabidi umpe zilizobaki yani 5%.Nitamtumia JOKATE Kwani Ana Karibia SIFA Zote 11 ZILIZOTUKUKA Za Kuwa Photogenic. WEMA Ni Mzuri Ila Ule Mwanya Na Macho Yake Ya " KUPEPEA " Yanamfanya Asiwe Photogenic Japo Tukisema Tuanzie Vigezo Vya Kutoka Kifuani Kuja Hadi Usawa Wa " VIUNGO KOROFI " Vya Binadamu WEMA Anamzidi JOKATE Ila Tukisema Tena Tuangalie Kuanzia Ktk MAPAJA, UGOKONI, VIGIMBINI Na MIGUUNI Nisiwe MNAFIKI Hapa JOKATE Anamzidi Mno Na KUNAKOTUKUKA WEMA.
Hivyo Basi Kama Ni Marks Za Jumla Jokate Nampa 95% Huku Wema Nikimpa 75%. Ila Binafsi NINAWAPENDA Na NAWAKUBALI WOTE.
Ndio mkuu Wema alikuwa miss Tanzania, namba 1 ambae ndie alivaa taji, na Jokate akwa miss Tanzania no.2 wote mwaka mmoja 2006.hivi mmoja aliwahi kuwa miss Tanzania yaani bingwa wa warembo Tanzania, tuanzie hapo