Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Ndiyo kiongoziUnamaaniaha router au?
Router ni kifaa tu Cha kutengeneza wifi hakiuzi bando, bando unanunua toka kwenye line Yako, so utumie router ya Voda ama ya Tp link haitabadilisha gharama.Habari members,
Naomba kuuliza jambo Moja ambalo linanichanganya pia sijaelewa kuhusu aina za hizi wi-fi mfano wi-fi za vodacom na za TP-Link Zina utofauti gani pia na cost zake za kila mwezi mwenye details naomba msaada
Kwahiyo hizo zingine zinatumia line yoyote tu (Huawei, ZTE etcRouter ni kifaa tu Cha kutengeneza wifi hakiuzi bando, bando unanunua toka kwenye line Yako, so utumie router ya Voda ama ya Tp link haitabadilisha gharama.
Router za kina Voda ndio hizo hizo za Huawei, Zte, D-Link, TP-Link na wengine wanabadili tu brand.
So we angalia menu ya kifurushi unga unachokimudu hizo router zisikuumize kichwa.
Ndio, most of time ukinunua Router ambayo siyo branded na mTandao wa simu huwa inatumia line yoyote.Kwahiyo hizo zingine zinatumia line yoyote tu (Huawei, ZTE etc
Vip kuhusiana na modem zinazotoa wifi si nzuri tu nazo kwa matumizi?Ndio, most of time ukinunua Router ambayo siyo branded na mTandao wa simu huwa inatumia line yoyote.
Asante sana CHIEF MKWAWARouter ni kifaa tu Cha kutengeneza wifi hakiuzi bando, bando unanunua toka kwenye line Yako, so utumie router ya Voda ama ya Tp link haitabadilisha gharama.
Router za kina Voda ndio hizo hizo za Huawei, Zte, D-Link, TP-Link na wengine wanabadili tu brand.
So we angalia menu ya kifurushi unga unachokimudu hizo router zisikuumize kichwa.
Ahsante mkuu, maana Kwa promotion zinazofanywa na mitandao imetufanya wengi kuzoea fikra za Kila mtandao unakuwa na router yakeNdio, most of time ukinunua Router ambayo siyo branded na mTandao wa simu huwa inatumia line yoyote.
Jambo jengine muhimu ni kuhakikisha band zinafanana. Tanzania 4G tunatumiaAhsante mkuu, maana Kwa promotion zinazofanywa na mitandao imetufanya wengi kuzoea fikra za Kila mtandao unakuwa na router yake
Shukrani kiongoziJambo jengine muhimu ni kuhakikisha band zinafanana. Tanzania 4G tunatumia
Band 3 (1800mhz) Voda, Airtel, TTCL, Tigo (katikati ya jiji)
Band 7 (2600) Halotel
Band 20 (800) Tigo Nchi nzima na Smile
Band 40 (2300) TTCL.
Kabla kununua router kagua hizo band
Haitakubali mkuu, sisi tunatumia band 3/7/20/40 zote hamna hapo.Chief-Mkwawa nataka agiza hii router toka ebay,msaada itaweza support band za mitandao ya kwetu hapa. Hasa voda na tigoView attachment 3163726