Nahisi watakuzika mkuunikifikiria hiyo siku isiyokuwa na jina ya kuwazika wazazi wangu au wao kunizika mimi
wazazi wangu wrote bado wapo hai
Kama unatamani mama ndo atangulie ivi wewe ubaki ama sijaelewa??Mzee nimeshamzika nimebaki na mama tu halafu mimi ndo mtoto wake wa pekee, nahisi nikitangulia kufa nitamuacha kwenye hali mbaya sana.
Rudia kusoma utaelewaKama unatamani mama ndo atangulie ivi wewe ubaki ama sijaelewa??