KATIBA: CCT nao watoa tamko!

CCM hawaoni kasoro kwenye huu mswada wa sheria ya Mabadiliko ya Katiba? Wana Upofu gani huo? Yanayo wakuta Tambwe kuzomewa Karimjee, ni alama kuwa wamepotoka hebu rudini kwenye mstari there is nothing to loose, ruhusuni mchakato huru na usio kuwa na vitisho vya kuwafunga watu jela na kuzuia watu kupinga mahakamani. CHONDE CHONDE Jey Kei na watu wako nji hii ni yetu sote!!!!!!!!!!!!!
 
ni wajibu wa kila raia kuchangia uandikaji wa katiba mpya.:majani7:
 
Umesababisha kuna mtu asitie mguu wake maana naona kimya sana//
 
They have the obligations to air their views!
 
Safi sana! Tunawaomba na wenzetu BAKWATA watoe maoni yao mapema!
Kama wasemaji na watetezi wa chama cha magamba BAKWATA watadai huu ni udini na kutaka serikali itawaliwe na wakristo nan ni chuki za za wakristo dhidi ya jk. Chonde chonde Bakawata na nyie toeni maoni yenu ya kujenga nchi na siyo interception.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…