Wakuu tume ya katiba imeleta katiba 10,000 kwa wilaya nzima ya kinondoni,yenye kata zote 34,na kila kata wamepatiwa katiba 300.
NAJIULIZA NANI ANATAKIWA KUHAIRISHA ZOEZI LA KURA YA MAONI?
mbona maandalizi hayaendani na kitu wanachokitaka?
Kinondoni yenye makadirio ya watubtakribani millioni 2.5
Kulete katiba 10,000 si mzaha huu?
NAJIULIZA NANI ANATAKIWA KUHAIRISHA ZOEZI LA KURA YA MAONI?
mbona maandalizi hayaendani na kitu wanachokitaka?
Kinondoni yenye makadirio ya watubtakribani millioni 2.5
Kulete katiba 10,000 si mzaha huu?