inols
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 283
- 97
Msaada wa Ndugu, katika hatua tuliyofikia
NAENDELEA KUSOMA:Ibara ya 42 ya Katiba ya JMT, 1977 kama ilivyofanyika marekebisho mara kwa mara inasema Rais akishatangazwa ataassume office mara moja au ndani ya kipindi kisichozidi siku 7.Ibara ya 51 (2) inasema Waziri mkuu akishateuliwa lazima awe confirmed na National Assembly.Ibara hii pia inasema Rais atamteua waziri mkuu ndani ya siku 14 baada ya kuingia ofisini.Ibara ya 54 (1) inasema kutakuwa na baraza la mawaziri ambalo wajumbe wake watakuwa Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Rais wa Zanzibar naMawaziri.Ibara ya 66 (1)(c) inasema moja ya category ya member wa National assembly ni watu watano waliochaguliwa kutoka House of representatives.
Najiuliza.
1. Tanzania itakuwa na waziri mkuu baada ya siku 90 au tutafanya awepo kibabe?? Kwakuwa ili awe namamlaka ya kufanya kazi kihalali lazima awe confirmed na bunge.
2. Je Tanzania itakuwa na baraza la mawaziri baadaya siku 90 au tutaendelea experte? Hii ni kwakuwa Rais wa Zanzibar hayupo.
3. Najiuliza Tz itapata mawaziri baada ya siku 90 au tutachagua wa huku tu?
4. Je tutasubiri bunge kamili baada ya siku 90 kwa kuwa wenzetu wengine bado au tutasongesha kibabe??
NASHUKURU ZENJI IMEFANYA NIPATE WASAA WA KURUDIA KUSOMA KATIBA.,,Sidhani kwa upeo wangu mdogo kama maamuzi ya kufuta uchaguzi wa Zanzibar hayaathiri utendaji wa Bara mbali na kwamba tutasema zile za kule si halali ila za huku ni halali.Nimecopy sehemu hiyo
Hivi mseto ni jamii yote ya kunde zote?Jamani nao mseto wa CCM usiolika.
NAENDELEA KUSOMA:Ibara ya 42 ya Katiba ya JMT, 1977 kama ilivyofanyika marekebisho mara kwa mara inasema Rais akishatangazwa ataassume office mara moja au ndani ya kipindi kisichozidi siku 7.Ibara ya 51 (2) inasema Waziri mkuu akishateuliwa lazima awe confirmed na National Assembly.Ibara hii pia inasema Rais atamteua waziri mkuu ndani ya siku 14 baada ya kuingia ofisini.Ibara ya 54 (1) inasema kutakuwa na baraza la mawaziri ambalo wajumbe wake watakuwa Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Rais wa Zanzibar naMawaziri.Ibara ya 66 (1)(c) inasema moja ya category ya member wa National assembly ni watu watano waliochaguliwa kutoka House of representatives.
Najiuliza.
1. Tanzania itakuwa na waziri mkuu baada ya siku 90 au tutafanya awepo kibabe?? Kwakuwa ili awe namamlaka ya kufanya kazi kihalali lazima awe confirmed na bunge.
2. Je Tanzania itakuwa na baraza la mawaziri baadaya siku 90 au tutaendelea experte? Hii ni kwakuwa Rais wa Zanzibar hayupo.
3. Najiuliza Tz itapata mawaziri baada ya siku 90 au tutachagua wa huku tu?
4. Je tutasubiri bunge kamili baada ya siku 90 kwa kuwa wenzetu wengine bado au tutasongesha kibabe??
NASHUKURU ZENJI IMEFANYA NIPATE WASAA WA KURUDIA KUSOMA KATIBA.,,Sidhani kwa upeo wangu mdogo kama maamuzi ya kufuta uchaguzi wa Zanzibar hayaathiri utendaji wa Bara mbali na kwamba tutasema zile za kule si halali ila za huku ni halali.Nimecopy sehemu hiyo
Hivi mseto ni jamii yote ya kunde zote?Jamani nao mseto wa CCM usiolika.