Katiba hii sina uhakika kama itafanikiwa

Katiba hii sina uhakika kama itafanikiwa

karekwachuza

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
999
Reaction score
335
Jamani Tijiulizeni kama ma ccm yapo lukuki.kuna katiba mpya hapo kweli?au tunadanganyana?tujadili
 
imeniuma sana mbunge analipwa mshahara then anasimama anasema anadai posho iongezeka ili hali mwalimu anayemwakilisha analipwa chini ya hilo laki tatu kwa mwezi.
kodi yangu mimi ndo nalia nayo anayoenda kuichezea humo bungeni,.....
 
ccm nachukia maisha yangu yote wezi wakubwa wanadhulumu wajane kodi zetu wanaenda kufanyia umalaya huko dodoma katiba itakuwa ya kiccm kwani wajumbe walio wengi na wabunge ni hao hao wanaharamu maccm...
 
imeniuma sana mbunge analipwa mshahara then anasimama anasema anadai posho iongezeka ili hali mwalimu anayemwakilisha analipwa chini ya hilo laki tatu kwa mwezi.

acha tu usinikumbushe machungu ya makato huku jamani loh.
 
yani mimi nakatwa kodi hku wao wanaenda kufanyia mchezo wasipotoa katiba inayoeleweka nitakula nae sahani moja

Mmh! Tusubirie tu fujo lakini kwa miccm ilivyojazana kule hakuna kitakachoendelea labda wakajichukulie tu laki tatu tatu kwa siku! Tena wameshaanza kulalamika laki tatu haziwatoshi (habari kamili utaikuta 'jukwaa la katiba')
 
Mmh! Tusubirie tu fujo lakini kwa miccm ilivyojazana kule hakuna kitakachoendelea labda wakajichukulie tu laki tatu tatu kwa siku! Tena wameshaanza kulalamika laki tatu haziwatoshi (habari kamili utaikuta 'jukwaa la katiba')
hazitoshi nini hawa wanata na kuonga waonge ....
 
Hahahahahaaa!
Nilijua umeshafika jukwaa la katiba, kumbe bado unang'ang'aa sharubu hapa!
Hem tangulia kule ukaone hoja zao, mi nitakuja mda sio mrefu!

siendi huko kuumiza akili zangu ngoja nitafute hela aisee sipo tayari ku[poteza mda na hao watu
 
Back
Top Bottom