Katiba ni mambo ya bunge wananchi hawajui kifungu chochote cha katiba. Ikivunjwa wabunge na serikali wamalizane bungeni. Hamuoni Trump anavyoendeshwa puta.
Hivi vya kuingia mtaani kuhamasisha wananchi wafanye fujo havikubaliki.
Ni wanasiasa waliofilisika kisiasa ndio wanaotumia mbinu hizi.
Hivi vya kuingia mtaani kuhamasisha wananchi wafanye fujo havikubaliki.