Katiba huleta nidhamu ya wanasiasa kuitumia Dola

Katiba huleta nidhamu ya wanasiasa kuitumia Dola

Isaac JK

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
563
Reaction score
92
Duniani, Majeshi huwa hayaanzishi machafuko, machafuko huanzishwa na wanasiasa.
Jeshi hutekeleza tu amri za wanasiasa.
Madhaifu ya utendaji wa Jeshi hutokana na mapungufu ya busara za viongozi wa kisiasa.

Nifedheha kwa wanasiasa kulidhalilisha jeshi kwa kulitumia vibaya ila ni fedheha sana kwa jeshi kudhalilishwa na wanasiasa kwa kutii amri ya wanasiasa iliyokosa hekima na busara.

Utawala unaoheshimu katiba tu ndiyo unaoweza kumcontrol mwanasiasa juu ya nidhamu ya matumizi ya jeshi. Je nchi za africa, utawala wetu unazingatia katiba?

Its time kwa wanasiasa wa africa kuheshimu katiba walizoapa kuzilinda na kuzitunza ili kuepuka machafuko.
 
Wausikie au waupuuzie wito wako kama kawaida yao wewe usijali wajibu wako umeutimiza..
Asubuhi pitia kwa mama lishe wa jirani kula chapati mbili na supu ya maharage nitakuja kulipa mkuu.
 
Duniani, Majeshi huwa hayaanzishi machafuko, machafuko huanzishwa na wanasiasa.
Jeshi hutekeleza tu amri za wanasiasa.
Madhaifu ya utendaji wa Jeshi hutokana na mapungufu ya busara za viongozi wa kisiasa.

Nifedheha kwa wanasiasa kulidhalilisha jeshi kwa kulitumia vibaya ila ni fedheha sana kwa jeshi kudhalilishwa na wanasiasa kwa kutii amri ya wanasiasa iliyokosa hekima na busara.

Utawala unaoheshimu katiba tu ndiyo unaoweza kumcontrol mwanasiasa juu ya nidhamu ya matumizi ya jeshi. Je nchi za africa, utawala wetu unazingatia katiba?

Its time kwa wanasiasa wa africa kuheshimu katiba walizoapa kuzilinda na kuzitunza ili kuepuka machafuko.
Umesema Vyema Ndugu.
KUFUATA KATIBA NA KUTAWALA NI JAMBO LINALOKWENDA PAMOJA.
MWANASIASA BILA KUFUATA KATIBA ATATAWALA MPAKA KUKU NA INZI.
Mwalimu asiye na Andalio la somo na Muundo wa Kazi anaweza kufundisha Kila kitu darasani.
 
Wazo zuri, ila tatizo katiba ishawekwa mfukoni na mzee wa kutusema tunawashwa washwa
 
Back
Top Bottom