K kizuiani Member Joined Jul 12, 2020 Posts 73 Reaction score 130 Mar 19, 2021 #1 Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi .
Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi .
dimaa JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 4,174 Reaction score 5,658 Mar 19, 2021 #2 Mawaziri ni walewale
900 Itapendeza zaidi JF-Expert Member Joined Nov 19, 2017 Posts 7,704 Reaction score 9,186 Mar 19, 2021 #3 kizuiani said: Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa raisi wa nchi . Click to expand... huwa wanabaki wale wale
kizuiani said: Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa raisi wa nchi . Click to expand... huwa wanabaki wale wale
Cofta Senior Member Joined Aug 6, 2017 Posts 158 Reaction score 632 Mar 20, 2021 #4 kizuiani said: Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi . Click to expand... Baraza linabaki pale pale. Ila sehemu ambapo patakuwa na ulazima wakufanya mabadiliko, mabadiliko hayo yatafanyika ila sio kwamba ni lazima kwa muda huu avunje baraza hilo nakufanya uteuzi mpya hivi sasa
kizuiani said: Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi . Click to expand... Baraza linabaki pale pale. Ila sehemu ambapo patakuwa na ulazima wakufanya mabadiliko, mabadiliko hayo yatafanyika ila sio kwamba ni lazima kwa muda huu avunje baraza hilo nakufanya uteuzi mpya hivi sasa