Katiba inasemaje ikitokea Majaji wanne wakaitisha press Serena?

Katiba inasemaje ikitokea Majaji wanne wakaitisha press Serena?

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
2,254
Reaction score
2,715
Wakuu habari ya mapumziko ya mwisho wa wiki?.

Kesho ni siku muhimu inayosubiriwana Wakenya kujua msitakabali wa kiongozi wao.

Majaji saba wa mahakana ya upeo hivi sasa wamejifungia wakiandika hukumu ya shauri la kumthibitisha Ruto au kufuta uchaguzi

Hukumu hiyo itasomwa na Mh Jaji mkuu.Kama ambavyo haikuwahi kutarajiwa tume kugawanyika,Je itakuwaje Majaji wakigawanyika? Kwa maana kwamba Mh Jaji mkuu anayepaswa kusoma hukumu ( Kama ilivyotokea kwa Chebukati aliyekuwa na mandate ya kumtangaza mshindi) Akiwa na maoni tofauti na yakaungwa mkono na Majaji wawili wakawa watatu dhidi ya wanne na kwakuwa yeye ndo msoma hukumu akalazimisha upande wake ( yeye na wengine wawili) ndiyo uwe rulling na wale wanne wakafanya kama makamishona wanne wakaenda Serena katiba inaelekeza nini kayika mazingira hayo?.
 
Kwanza nikupe taarifa kuwa kila jaji atasoma Hukumu yake katika wale 7! Then inapigwa kura kulingana na kila Hukumu ya Jaji!

Katika wale 7, wa4 wakisema hawajaona kasoro na watatu wakasema wameona kasoro bas wa4 watakuwa ndio washindi na Ruto ataapishwa kuwa Rais! Alikadhalika wa4 wakisema No basi uchaguzi utarudiwa.

Kama boxing tu pale kwaiyo hakuna Hukumu ya pamoja pale
 
Kwanza nikupe taarifa kuwa kila jaji atasoma Hukumu yake katika wale 7! Then inapigwa kura kulingana na kila Hukumu ya Jaji!

Katika wale 7, wa4 wakisema hawajaona kasoro na watatu wakasema wameona kasoro bas wa4 watakuwa ndio washindi na Ruto ataapishwa kuwa Rais! Alikadhalika wa4 wakisema No basi uchaguzi utarudiwa.

Kama boxing tu pale kwaiyo hakuna Hukumu ya pamoja pale
Kwahiyo mpaka sasa hata Jaji mkuu hana uhakika uamuzi utakuwa upi?
 
Kwanza nikupe taarifa kuwa kila jaji atasoma Hukumu yake katika wale 7! Then inapigwa kura kulingana na kila Hukumu ya Jaji!

Katika wale 7, wa4 wakisema hawajaona kasoro na watatu wakasema wameona kasoro bas wa4 watakuwa ndio washindi na Ruto ataapishwa kuwa Rais! Alikadhalika wa4 wakisema No basi uchaguzi utarudiwa.

Kama boxing tu pale kwaiyo hakuna Hukumu ya pamoja pale
Pia usisahau input ya observers panel ya kina former CJ Mohammed Othman Chande pia watatoa maoni yao kwa those verdicts from 7 judges! Si rahisi kuharibika kitu kama IEBC team ilivyotoka vipande vipande! If that happens count violence in Kenya maana hamna organ inayoweza kuingilia kati mpasuko!
 
Kwahiyo mpaka sasa hata Jaji mkuu hana uhakika uamuzi utakuwa upi?
Halazimiki kujua matokeo ya kijumla japo wanaweza kuketi kwa pamoja wakaulizana we mwanzangu umeona nn?

Ila mwisho wa siku kila jaji atasoma hukumu yake na wengi itakuwa wape.

Uchaguzi wa 2017 ulirudiwa na katika lile shauri lilisikilizwa na majaji 6, katika ao 6, wa4 walisema uchaguzi ulikuwa na kasoro ila wa2 walisema uchaguzi ulikuwa sawa! So ikabidi uchaguzi urudiwe.
 
Pia usisahau input ya observers panel ya kina former CJ Chande pia watatoa maoni yao kwa those verdicts from 7 judges! Si rahisi kuharibika kitu kama IEBC team ilivyotoka vipande vipande! If that happens count violence in Kenya maana hamna organ inayoweza kuingilia kati mpasuko!
Hilo kanwe halitokei ndio maana duniani kote supreme court zina idadi ya majaji isiyogawanyika kwa mbili maana yake upande mmoja utazidi tu na ndiyo itakuwa hukumu. Uzuri ili kuondoa unafiki wa baadae baadhi kuruka maamuzi yao wenyewe kila mmoja huandika hukumu yake ili kuwa ushuhuda wa kile alichoamua.
 
Hao seven judges wote wako na nguvu sawa. Kila mmoja atatoa hukumu kivyake - sio kama IEBC-
Sasa mbona mtu aende serena
 
Pia usisahau input ya observers panel ya kina former CJ Chande pia watatoa maoni yao kwa those verdicts from 7 judges! Si rahisi kuharibika kitu kama IEBC team ilivyotoka vipande vipande! If that happens count violence in Kenya maana hamna organ inayoweza kuingilia kati mpasuko!
Wacha uwongo geza. Huyo ni observer tu hana uhusiano wowote na kesi
 
Kama ulikuwa unafatilia mjadala pale Mahakamani walisema wenyewe wanafanya kazi kama team.Na moja kati ya kasoro kubwa iliyofanya Tume na Chibukatu ni kuruhusu Makamishina 4 kati ya Makamishina 6 kujitenga hii sababu pekee inafanya uchaguzi huu kuwa batili.

Kuna watu walikuja na hoja kwamba Tume ni Chibukati,ndipo majaji wakatoa vifungu kutoka kwenye katiba kupinga hill.
 
Moja kati ya maswali ambayo yatajibiwa leo ni hilo la mgawanyiko wa makamishna.... swali lenyewe ni kazi yao ni nini? Kukataa au kukubali kwao kuna maana gani?

Katiba ya Kenya iko clear kuhusu Supreme Court, maamuzi yanapigiwa kura na wengi wape... hata kama Jaji Mkuu amepiga ya hapana, na wengi wamepiga ndio, uamuzi wa wengi unapita.
 
Wana team yao itawasaidia kuja na hukumu
wewe unafikiri kwann walimuita former Tanzanian CJ n co. unaijua CV yake former Tanzanian CJ? Wacha ujinga! Go through and see why they called him AND not using what u have!
 
Kwanza nikupe taarifa kuwa kila jaji atasoma Hukumu yake katika wale 7! Then inapigwa kura kulingana na kila Hukumu ya Jaji!

Katika wale 7, wa4 wakisema hawajaona kasoro na watatu wakasema wameona kasoro bas wa4 watakuwa ndio washindi na Ruto ataapishwa kuwa Rais! Alikadhalika wa4 wakisema No basi uchaguzi utarudiwa.

Kama boxing tu pale kwaiyo hakuna Hukumu ya pamoja pale
Swala la kurudia uchaguzi haliwezi kutokea abadani. Its obvious hapo Ruto ataapishwa. Kimsingi kuna mifumo jamii ya mwafrika inajiwekea ili katabaka fulani ka watu ndio katafune mema ya nchi wakati wengine wakiteseka.

Hapo hao majaji watatembezewa mpunga kwa namna zote hadi kieleweke.

The only way African can speak is through violence.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la kurudia uchaguzi haliwezi kutokea abadani. Its obvious hapo Ruto ataapishwa. Kimsingi kuna mifumo jamii ya mwafrika inajiwekea ili katabaka fulani ka watu ndio katafune mema ya nchi wakati wengine wakiteseka.

Hapo hao majaji watatembezewa mpunga kwa namna zote hadi kieleweke.

The only way African can speak is through violence.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona 2017 uchaguzi ulirudiwa?
 
wewe unafikiri kwann walimuita former Tanzanian CJ n co. unaijua CV yake former Tanzanian CJ? Wacha ujinga! Go through and see why they called him AND not using what u have!
Because he's a former CJ, hio ndo title yake. Huku Kenya pia tuna former CJ Maraga n.k. Supreme court hawapati advice kutoka nje ya team yao unless wanacite judgement/opinion from other jurisprudence
 
Kwanza nikupe taarifa kuwa kila jaji atasoma Hukumu yake katika wale 7! Then inapigwa kura kulingana na kila Hukumu ya Jaji!

Katika wale 7, wa4 wakisema hawajaona kasoro na watatu wakasema wameona kasoro bas wa4 watakuwa ndio washindi na Ruto ataapishwa kuwa Rais! Alikadhalika wa4 wakisema No basi uchaguzi utarudiwa.

Kama boxing tu pale kwaiyo hakuna Hukumu ya pamoja pale
Asante kwa taarifa

All the Best Babu Odinga
 
Back
Top Bottom