Katiba inasemaje kama rais aliyopo madarakani atakuwa mgonjwa na hawezi kusimama kwa kipindi cha pili?

Katiba inasemaje kama rais aliyopo madarakani atakuwa mgonjwa na hawezi kusimama kwa kipindi cha pili?

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,158
Ali Bongo amepata stroke na alikuwa kwenye matibabu kwa takriban miezi 18. Sasa hivi anajitahidi kuwashawishi raia wake kuwa anaweza kusimama tena katika uchaguzi ujao.

Kebehi nyingi sana zilimuendea Tundu Lissu kuwa hawezi kuwa mgombea wa urais kwakua ni 'kilema'. Ikitokea rais aliyeko madarakani amepata ajali na amekuwa mlemavu au anatembea kwa kuchechemea hatima itakuaje katika uchaguzi ujao?
 
Ali Bongo amepata stroke na alikuwa kwenye matibabu kwa takriban miezi 18. Sasa hivi anajitahidi kuwashawishi raia wake kuwa anaweza kusimama tena katika uchaguzi ujao.

Kebehi nyingi sana zilimuendea Tundu Lissu kuwa hawezi kuwa mgombea wa urais kwakua ni 'kilema'. Ikitokea rais aliyeko madarakani amepata ajali na amekuwa mlemavu au anatembea kwa kuchechemea hatima itakuaje katika uchaguzi ujao?
Katiba haijakataza mlemavu kuwa kiongozi. Alimradi ana akili timamu.
 
Daisy Llilies,

Akiwa hata hana miguu atabaki kuwa rais kama atashinda. Katiba inazungumzia magonjwa ambayo yatamfanya asi-perform majukumu ya urais.

Kilema atawekwa kwenye baiskeli za walemavu. Huko Marekani Roosevelt aliongoza nchi akiwa kwenye baiskeli ya walemavu.
Utazinduaje ubungo interchange na baiskeli ya walemavu
 
Ali Bongo amepata stroke na alikuwa kwenye matibabu kwa takriban miezi 18. Sasa hivi anajitahidi kuwashawishi raia wake kuwa anaweza kusimama tena katika uchaguzi ujao.

Kebehi nyingi sana zilimuendea Tundu Lissu kuwa hawezi kuwa mgombea wa urais kwakua ni 'kilema'. Ikitokea rais aliyeko madarakani amepata ajali na amekuwa mlemavu au anatembea kwa kuchechemea hatima itakuaje katika uchaguzi ujao?
Kasome katiba upya, inajieleza vizurì utimamu unaotakiwa.
 
Back
Top Bottom