Katiba inasemaje kama rais aliyopo madarakani atakuwa mgonjwa na hawezi kusimama kwa kipindi cha pili?

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,158
Ali Bongo amepata stroke na alikuwa kwenye matibabu kwa takriban miezi 18. Sasa hivi anajitahidi kuwashawishi raia wake kuwa anaweza kusimama tena katika uchaguzi ujao.

Kebehi nyingi sana zilimuendea Tundu Lissu kuwa hawezi kuwa mgombea wa urais kwakua ni 'kilema'. Ikitokea rais aliyeko madarakani amepata ajali na amekuwa mlemavu au anatembea kwa kuchechemea hatima itakuaje katika uchaguzi ujao?
 
Katiba haijakataza mlemavu kuwa kiongozi. Alimradi ana akili timamu.
 
Utazinduaje ubungo interchange na baiskeli ya walemavu
 
Kasome katiba upya, inajieleza vizurì utimamu unaotakiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…