Katiba inayopendekezwa (ibara ya 57) inawapa wanawake haki nyingi za msingi.

Katiba inayopendekezwa (ibara ya 57) inawapa wanawake haki nyingi za msingi.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
• Kushiriki bila ubaguzi katika uchaguzi na ngazi zote za maamuzi [Ibara za 57 (c) na129(4)].


• Fursa na haki ya ujira sawa na wanaume kwa kazi zenye sifa zinazofanana – [Ibara ya 57 (d)];


• Kupata huduma bora za afya ikiwemo afya ya uzazi salama [Ibara ya 57(f )];


• Haki ya kupata kumiliki mali [Ibara za 57(g), 47(1) na 23(2)]. Haki hii ni muhimu sana katika maendeleo ya wanawake hususan kwa sehemu ambazo wanawake wamekuwa wakinyimwa haki ya kumiliki mali.


• Ajira ya mwanamke kulindwa wakati wa ujauzito na anapojifungua [Ibara ya 57(e)];


• Haki ya kupata maji safi na salama [Ibara ya 51];


• Haki ya kusaidiana katika matunzo na malezi ya mtoto [Ibara ya 53(1)(g)]. Hii ni fursa ye pekee kwa wanawake ambao walikuwa wametelekezwa na wenza wao.



View attachment 235864
 
Kweli Katiba Inayopendekezwa imetugusa sote na itatulekeza pazuri sana. Kaeni mkao wa kula na kupiga kura
 
• Kushiriki bila ubaguzi katika uchaguzi na ngazi zote za maamuzi [Ibara za 57 (c) na129(4)].


• Fursa na haki ya ujira sawa na wanaume kwa kazi zenye sifa zinazofanana – [Ibara ya 57 (d)];


• Kupata huduma bora za afya ikiwemo afya ya uzazi salama [Ibara ya 57(f )];


• Haki ya kupata kumiliki mali [Ibara za 57(g), 47(1) na 23(2)]. Haki hii ni muhimu sana katika maendeleo ya wanawake hususan kwa sehemu ambazo wanawake wamekuwa wakinyimwa haki ya kumiliki mali.


• Ajira ya mwanamke kulindwa wakati wa ujauzito na anapojifungua [Ibara ya 57(e)];


• Haki ya kupata maji safi na salama [Ibara ya 51];


• Haki ya kusaidiana katika matunzo na malezi ya mtoto [Ibara ya 53(1)(g)]. Hii ni fursa ye pekee kwa wanawake ambao walikuwa wametelekezwa na wenza wao.



View attachment 235864

These are petty issues come on!
 
• Kushiriki bila ubaguzi katika uchaguzi na ngazi zote za maamuzi [Ibara za 57 (c) na129(4)].


• Fursa na haki ya ujira sawa na wanaume kwa kazi zenye sifa zinazofanana – [Ibara ya 57 (d)];


• Kupata huduma bora za afya ikiwemo afya ya uzazi salama [Ibara ya 57(f )];


• Haki ya kupata kumiliki mali [Ibara za 57(g), 47(1) na 23(2)]. Haki hii ni muhimu sana katika maendeleo ya wanawake hususan kwa sehemu ambazo wanawake wamekuwa wakinyimwa haki ya kumiliki mali.


• Ajira ya mwanamke kulindwa wakati wa ujauzito na anapojifungua [Ibara ya 57(e)];


• Haki ya kupata maji safi na salama [Ibara ya 51];


• Haki ya kusaidiana katika matunzo na malezi ya mtoto [Ibara ya 53(1)(g)]. Hii ni fursa ye pekee kwa wanawake ambao walikuwa wametelekezwa na wenza wao.



View attachment 235864

wewe mwanamke acha propaganda za kifalasi.
Ndo umeona ayo tu?? those are miner things na sidhan km kwa mibaba mfumo dume itaacha zaid wanawake ndo wamekuwa wakiongwa kanga na chunvi na kuyapigia mafisadi
ni nani aliwanyima huduma za afya km si hayo making Samuel sitta??.
HIZO haki zote mekuwa mnanyimwa na hao akina ccm na dola yao. kwendeni zenu hamna jipya Mimama nyie.
 
wewe mwanamke acha propaganda za kifalasi.
Ndo umeona ayo tu?? Those are miner things na sidhan km kwa mibaba mfumo dume itaacha zaid wanawake ndo wamekuwa wakiongwa kanga na chunvi na kuyapigia mafisadi
ni nani aliwanyima huduma za afya km si hayo making samuel sitta??.
Hizo haki zote mekuwa mnanyimwa na hao akina ccm na dola yao. Kwendeni zenu hamna jipya mimama nyie.

we piga kelele zako hii ngoma inapita, sa cjui utakunywa sumu ikipita? I fill pity of you! Soma ikusaidie ndugu, matyuc hapa c mahala pake, don't panick! Kuwa mpole hata kama maneno yamekuuma, vumilia ndo ukubwa huo, khaaaaa!!
 
Kura ya hapana tutapiga

we piga kelele zako hii ngoma inapita, sa cjui utakunywa sumu ikipita? I fill pity of you! Soma ikusaidie ndugu, matyuc hapa c mahala pake, don't panick! Kuwa mpole hata kama maneno yamekuuma, vumilia ndo ukubwa huo, khaaaaa!!
 
Back
Top Bottom