Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Jamii yetu ina utajiri wa kuwa na makundi
mbalimbali yenye mahitaji yanayotofautiana.
Katiba Inayopendekezwa imetambua haki
za makundi haya ya kumiliki, kutumia,
kuendeleza na kuhifadhi ardhi kwa makundi
ya wakulima, wavuvi, wafugaji, wachimbaji
madini na makundi madogo kwa shughuli
zao mbalimbali za kila siku. Haki hii itakuwa
ni kwa Watanzania wote.
mbalimbali yenye mahitaji yanayotofautiana.
Katiba Inayopendekezwa imetambua haki
za makundi haya ya kumiliki, kutumia,
kuendeleza na kuhifadhi ardhi kwa makundi
ya wakulima, wavuvi, wafugaji, wachimbaji
madini na makundi madogo kwa shughuli
zao mbalimbali za kila siku. Haki hii itakuwa
ni kwa Watanzania wote.