Katiba inayopendekezwa imejali makundi yote ya jamii.

Katiba inayopendekezwa imejali makundi yote ya jamii.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Jamii yetu ina utajiri wa kuwa na makundi
mbalimbali yenye mahitaji yanayotofautiana.

Katiba Inayopendekezwa imetambua haki
za makundi haya ya kumiliki, kutumia,
kuendeleza na kuhifadhi ardhi kwa makundi
ya wakulima, wavuvi, wafugaji, wachimbaji
madini na makundi madogo kwa shughuli
zao mbalimbali za kila siku. Haki hii itakuwa
ni kwa Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom