Katiba Inayopendekezwa imezingatia suala la vyama vya siasa nchini.

Katiba Inayopendekezwa imezingatia suala la vyama vya siasa nchini.

Bukama Batoko

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
820
Reaction score
137
Tanzania ni kati ya nchi nyingi duniani zinazojali demokrasia ya kuwa na vyama vya siasa ambavyo ndivyo vinafanya kazi kwa mujubu wa kisheria. Katiba Inayopendekezwa haijaliacha suala hilo nyuma imelisimamia vema na kuainisha majukumu yao na namna vitakavyofanyakazi zao. Hongera Tz kwa kukubaliana wazo la Katiba Mpya.
 
Back
Top Bottom