Katiba inayopendekezwa inatambua makundi madogo madogo.

Katiba inayopendekezwa inatambua makundi madogo madogo.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Kwa mara ya kwanza katika taifa letu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 46 imeyatambua makundi madogo madogo ya wakulima na wafugaji, wavuvi na wachimba madini ambayo mara kwa mara yamekuwa yakiathiriwa na migogoro ya ardhi.

Kimsingi, makundi yote hayo yana maslahi yanayofanana na kushabihiana kwa kiasi kikubwa. Kutokana na hali hii migogoro imekuwa ikizuka mara kwa mara kwa sababu tu ya kugombania maslahi hayo. Katiba Inayopendekezwa kwa kutambua na kuzingatia ukweli huo, inazitaja na kuzitambua haki za makundi hayo kwa lengo la kuhakikisha kwamba maslahi yao yanalindwa.
 
Kwa mara ya kwanza katika taifa letu, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 46 imeyatambua makundi madogo madogo ya wakulima na wafugaji, wavuvi na wachimba madini ambayo mara kwa mara yamekuwa yakiathiriwa na migogoro ya ardhi.

Kimsingi, makundi yote hayo yana maslahi yanayofanana na kushabihiana kwa kiasi kikubwa. Kutokana na hali hii migogoro imekuwa ikizuka mara kwa mara kwa sababu tu ya kugombania maslahi hayo. Katiba Inayopendekezwa kwa kutambua na kuzingatia ukweli huo, inazitaja na kuzitambua haki za makundi hayo kwa lengo la kuhakikisha kwamba maslahi yao yanalindwa.


Safi sana nimeipenda hiyo, na huo ndiyo ukweli wa mambo.
 
kwa mara ya kwanza katika taifa letu, katiba inayopendekezwa katika ibara ya 46 imeyatambua makundi madogo madogo ya wakulima na wafugaji, wavuvi na wachimba madini ambayo mara kwa mara yamekuwa yakiathiriwa na migogoro ya ardhi.

Kimsingi, makundi yote hayo yana maslahi yanayofanana na kushabihiana kwa kiasi kikubwa. Kutokana na hali hii migogoro imekuwa ikizuka mara kwa mara kwa sababu tu ya kugombania maslahi hayo. Katiba inayopendekezwa kwa kutambua na kuzingatia ukweli huo, inazitaja na kuzitambua haki za makundi hayo kwa lengo la kuhakikisha kwamba maslahi yao yanalindwa.

ni jambo la kushukuru sana kwani ni kwa mara ya kwanza kuona makundi madogo madogo kama haya yanakumbukwa katika katiba inayopendekezwa.
 
Mie nimependa kweli leo nimeona watu wenye ulemavu wa ngozi (Albinism) kwenye taarifa ya saa 2 usiku ITV walionyesha kuifurahia Katiba Pendekezwa kwa kuzingatia maoni yao, kizuri zaidi walikabidhiwa nakala zenye maandishi makubwa na zile za Nukta nundu ili waweze kutiririsha kura kibao!
 
Back
Top Bottom