Katiba isichakachuliwe

Joined
Jul 25, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Maombi yangu naomba katiba isifanyiwe siasa kama siasa zinavyofanyika kwenye mambo ya msingi sana kama vile uwaz wa serkali na kutoa maisha bora kwa kila mwanachi. Endapo katiba itafanyiwa siasa maisha yetu watanzaia yataharibika zaidi ya sasahivi na kufanya viongoz waharibu tunu za wanacnhi.
 
Magamba yameshaona hatari mbele yao mabadiliko yoyote ya katiba yanahatarisha uhai wao ndio maana hayalali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…