Katiba isiyompa rais mamlaka haitufai.


Acha kujikomba wewe wala hujatumwa tatizo lenu ni walewale msiojielewa swali na msingi limeulizwa toa majibu kwanza acha kujificha afu unabakia hapohapo kama kobe!
 
Acha kujikomba wewe wala hujatumwa tatizo lenu ni walewale msiojielewa swali na msingi limeulizwa toa majibu kwanza acha kujificha afu unabakia hapohapo kama kobe!

1. Ninajikomba kwa nani..?

2. Sijatumwa na nani..? Au kuna habari za kutumwa hapa ili kuja kuchangia hii..?

3. Swali gani lililotolewa hapa wakati mleta mada amesha-conclude mawazo yake..?

4. Ninajificha wapi sasa hapa..? Ina maana kobe hatembei..?

Ngoja nikae kimya mie..
 
Kama ukikumbuka maneno ya Mwalimu, tusitegemea nchi kuendeshwa na mawazo ya mtu aliyeshauriwa na mkewe au rafiki zake bali ile kujua mustakabali wa mtu binafsi na taifa uwe katika katiba ya nchi.
Nafikiri unachotaka kutwambia ni kuwa rais akiamka asubuhi na kuamua kuahirisha uchaguzi mkuu iwe sawa tu maana ana mamlaka hayo! Na bora hata ya hawa waliopo maana siku nchi ikishikwa na watu dizaini ya mzee wa kilalacha ndio utajua Mzee Warioba na wanatume wenzake ubongo wao ni mkubwa kiasi gani kuyaona haya mapema na wanaoyakataa ni finyu kiasi gani pia.
 


Ndo maana nasema huelewi kinachoendelea humu ndo maana unahangaika!
 
Lakini pia hatutaki katiba km ya kwetu ambayo inamfanya rais kuwa dampo la madaraka!!!!

Nenda kaisome vizuri Katiba Inayopendekezwa utaona ninachosema hapa!na utapata maana ya nafasi ya Rais na madaraka yake na pia ni wakati gani yeye kama Rais anaweza kuamua jambo bila kufuata ushauri wowote au kufuata ushauri kutokana na uhuru wa maamuZi kwa mujibu wa Katiba!
 

Hukumuelewa Mwalimu,utawala wake ulikua chini ya Katiba hii hii tuliyonayo ya 1977,Mwalimu aliyoyasema na kuyasimamia yalikua hayako nje ya Katiba,alitenda na kutawala kwa mujibu wa katiba!Kikubwa ujue tu Rais ni kiongozi mkuu wa Taifa hivyo ana maamuzi yake binafsi kama kiongozi ambayo yapo kwa mujibu wa katiba na pia ana nafasi yake katika kupokea ushauri na kuufanyia kazi,kikubwa hapa ni kuheshimu katiba iliyopo!
 

Lukindo, kweli hayo maneno aliyatoa Mwl. ndiyo maana alisistiza Kiongozi wa nchi ni lazima awe na msimamo unaoongozwa na misingi ya katiba ya nchi katika kutoa maamuzi.


Nakushangaa Lukindo kwa kusema "Nafikiri unachotaka kutwambia ni kuwa rais akiamka asubuhi na kuamua kuahirisha uchaguzi mkuu iwe sawa tu maana ana mamlaka hayo!" Usituambie unafikiri, soma Katiba inasema je?Ndiyo maana Baba wa Taifa alikemea tabia hiyo.Maneno yako uliyoyasema sii ya kikatiba bali ni mawazo yako ambayo hayapo kwenye Katiba ya nchi, hivyo nasisitiza kuwa nchi inaongozwa kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo kulingana na Katiba ya nchi na sii vinginevyo.
 

NAONA HUNIELEWI. NDO MAANA NIMESEMA, NAJINUKUU
Lakini pia hatutaki katiba km ya kwetu ambayo inamfanya rais kuwa dampo la madaraka!!!!
 
NAONA HUNIELEWI. NDO MAANA NIMESEMA, NAJINUKUU
Lakini pia hatutaki katiba km ya kwetu ambayo inamfanya rais kuwa dampo la madaraka!!!!

Usipoteze muda wako Rais ni mamlaka,ni madaraka kama hulijui hilo kawaulize wezio wa UKAWA!
 
Sio mamlaka na madaraka ya kipumbavu km tunayompa sisi. kuna faida gani kupewa nafasi ya kuteua wabunge? Alafu uteuzi mwingi hauthibitishwi na bunge

Inaelekea unaota wewe unataka bunge lithibitishe vingapi acha kuchanganya mambo!unapinga tu bila kuelewa naongea kitu gani isitoshe Kipengele kinachomuhusu Rais ndani ya
katiba inayopendekezwa haujakisoma wewe!Mamlaka ya uteuzi kwa Rais hauepukiki hakuna Rais kokote duniani asiyekua na mamlaka ya kuteua!Isitoshe wananchi ndo kauli ya mwisho juu ya mustakakabali wa taifa lao na bila shaka wanafanya maamuzi sahihi!
 

Hata km wewe ni mtumwa kiasi hicho cha kumwabudu rais, lkn narudia tena
Sio mamlaka na madaraka ya kipumbavu km tunayompa sisi. kuna faida gani kupewa nafasi ya kuteua wabunge? Alafu uteuzi mwingi hauthibitishwi na bunge
 
Hata km wewe ni mtumwa kiasi hicho cha kumwabudu rais, lkn narudia tena
Sio mamlaka na madaraka ya kipumbavu km tunayompa sisi. kuna faida gani kupewa nafasi ya kuteua wabunge? Alafu uteuzi mwingi hauthibitishwi na bunge

Anayestahili kuabudiwa ni Mungu peke yake huwezi kunidanganya kwa lolote hakuna madaraka ya kipumbavu otherwise usingekuja hapa kuchangia kama unajua tunazungumzia madaraka ya kipimbavu!Huwezi kumfananisha rais na mjumbe wa nyumba kumi soma na tafuta marais wa nchi nyingine wanafanya nini usipende kurukaruka!Kasome katiba Inayopendekezwa utapata cha kuzungumza.
 
Hata km wewe ni mtumwa kiasi hicho cha kumwabudu rais, lkn narudia tena
Sio mamlaka na madaraka ya kipumbavu km tunayompa sisi. kuna faida gani kupewa nafasi ya kuteua wabunge? Alafu uteuzi mwingi hauthibitishwi na bunge
Kama umeishiwa hoja lala kijana maana unachokiongea ni povu tupu
 
Tunataka mamlaka ya kuwa 'kiongozi wa serikali' apewe waziri mkuu na Rais abaki tu kuwa amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi. Tuchague ama presidential system au parliamentary. Haiwezekani useme mawaziri watolewe bungeni then useme Rais awe both mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali. Je, ikitokea chama alichotokea rais sicho chenye wabunge wengi bungeni?
Lakini kwa context ya Tanzania I think parliamentary is best. Rais awe ni mmoja tu (kwa Zanzibar na Tanganyika) na awe kiashiria cha umoja na uhalali wa taifa letu. Awe ni mtu ambaye ni above siasa.
 
Kama umeishiwa hoja lala kijana maana unachokiongea ni povu tupu

Nona unapoteza muda bure. Sijui umekula maharage ya wapi wewe......NAKUACHA NA UJINGA WAKO ILA NAAMINI UTAELEWA MBELE YA SAFARI
 

Huna hoja hapa wala huelewi ndo walewale Rais abaki Amiri jeshi mkuu Nonsense!!! Then what nini utendaji wake katika Serikali hujaisoma Katiba ya 1977 na hii Inayopendekezwa hujaisoma nenda kasome tena kwa kuelewa acha kutumika!
 

Naona umeishiwa, kusoma katiba inayopendekezwa kun auhusiano gani na hiki nnachokisema. Hiyo ndo ileile katiba ya ccm coz katiba tuliyokuwa tumeipendekeza sisi raia sio hiyo na iliondoa kwa kiasi kikubwa hayo madaraka ya kidikteta. Yaani ccm mnajifunza nchi nyingine kwenye madaraka na mamlaka ya rais tu lkn tukisema mkajifunze nchi zingine namna ya kutumia raslimali lukuki tulizojaaliwa hamtaki ila mnaenda kujifunza ufisadi na kujilimbikizia mali na kuzificha nchi za nje wkt sisi tulitaka katiba ambayo itawakataza kuwa na akaunti nje ya nchi.....
CCM NI KM MBWA
 
Nona unapoteza muda bure. Sijui umekula maharage ya wapi wewe......NAKUACHA NA UJINGA WAKO ILA NAAMINI UTAELEWA MBELE YA SAFARI

kimjaacho mtu ndo kinachotoka hii mboga kawaulize wa kwenu jana na leo asubuhi wamekula ya wapi?ukimaliza uliza mkeo kakupikia ya wapi vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…