KATIBA, Je ni MKE WA RAIS au MKE WA (JINA LA MME WAKE)

KATIBA, Je ni MKE WA RAIS au MKE WA (JINA LA MME WAKE)

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,071
Rais mara kadhaa nimesikia ni taasisi, yapo mengi kwawale ambao vichwa vya zimewapatia hifadhi ya mambo watakumbuka majibu yabungeni, hasa lukuvi akiwa anamlinda rais kama alivyoapa. Alihoji na kusema siovema kutumia jina la rais kwa jina lake, maana rais ni taasisi sio mtu mmoja. Tumesikia mengi kuhusu rais kuwa nitaasisi.

SWALI LANGU SASA kikatiba tuna cheo kwenye katibakinachoitwa mke wa rais??? yaani taasisi ya rais ina mke??? je ni sahihi mtukujiita mke wa rais??? au tunaona aibu kuweka mambo vizuri hususani palewakubwa wanapokosea? TZ tumejenga utamaduni wa kuogopa kukosoana nakufundishana maana kama utamkosoa mkubwa, na asipende kile umemkosoa itapatahali ngumu.

Mbona ni aibu sana kwa kiswahili chetu, mtu kujiita mkewa taasisi, ina maana rais akifa ukachaguliwa kuwa rais unaweza rithi yule mamaaliyejiita mke wa rais, maana rais masaa 24 huwa yupo TZ hata kama kwa jinaanakuwa safari lakini taasisi ipo, ndo maana kunanidhamu ile ile rais kwa jinaakiwa nje ya nchi na akiwa ndani maana rais taasisi ipo fixed hakuna mabadilikoyoyote wakati wowote.

Najua makamu wa rais yupo kikatiba na ndiye msaidizi warais moja kwa moja iwapo rais atamtuma au kushindwa kutekeleza majukumu yakekutokana na sababu yoyote. SASA swali langu kama tunakubaliana kuwa ni sahihikujiita mke wa rais, huyu mke baadaye anaweza kuwa mme wa rais, kiprotokalianakaa wapi? Juu ya makamu au chini.

Nataka tu kujifunza kipi ni sahihi kikatiba, Kuna kitukama mke wa rais? Kama kipo je sio vyema wakati rais anagombea cv yake huyo mkeau mme pia iambatanishwe maana ni mtu ambaye pia ni sehemu ya rais kama ilivyokwa makamu wa rais?
 
Mkuu usihofu katiba mpya itajibu hayo yote maana ya sasa haina majibu
 
Usihofu hii tutaiweka kwenye katiba ya tanganyika
 
Katiba mpya tusipoangalia vizuri na tukajipanga inaweza ikakamilika mwaka 2025
 
Wewe umelewa mbege au kangara au mnazi au chimpumu au dengelua au kama cjakosea wewe n mmachinga pale posta sasa umelewa mawazo baada ya kufurumushwa na mgambo jiji ili kumpokea Obama!
 
Mwisho ya siku mimi ni Mtanzania, na haki ya kuona uozo na kusema
 
Kitu mke wa raisi kinachanganya sana hata shughuli zake hazieleweki maana zinapendelea wanawake tu. Taasisi gani inakua baguzi hivyo je siku raisi akiwa mwanamke mme wake atakua na nafasi gani?
 
Rais mara kadhaa nimesikia ni taasisi, yapo mengi kwawale ambao vichwa vya zimewapatia hifadhi ya mambo watakumbuka majibu yabungeni, hasa lukuvi akiwa anamlinda rais kama alivyoapa. Alihoji na kusema siovema kutumia jina la rais kwa jina lake, maana rais ni taasisi sio mtu mmoja. Tumesikia mengi kuhusu rais kuwa nitaasisi.

SWALI LANGU SASA kikatiba tuna cheo kwenye katibakinachoitwa mke wa rais??? yaani taasisi ya rais ina mke??? je ni sahihi mtukujiita mke wa rais??? au tunaona aibu kuweka mambo vizuri hususani palewakubwa wanapokosea? TZ tumejenga utamaduni wa kuogopa kukosoana nakufundishana maana kama utamkosoa mkubwa, na asipende kile umemkosoa itapatahali ngumu.

Mbona ni aibu sana kwa kiswahili chetu, mtu kujiita mkewa taasisi, ina maana rais akifa ukachaguliwa kuwa rais unaweza rithi yule mamaaliyejiita mke wa rais, maana rais masaa 24 huwa yupo TZ hata kama kwa jinaanakuwa safari lakini taasisi ipo, ndo maana kunanidhamu ile ile rais kwa jinaakiwa nje ya nchi na akiwa ndani maana rais taasisi ipo fixed hakuna mabadilikoyoyote wakati wowote.

Najua makamu wa rais yupo kikatiba na ndiye msaidizi warais moja kwa moja iwapo rais atamtuma au kushindwa kutekeleza majukumu yakekutokana na sababu yoyote. SASA swali langu kama tunakubaliana kuwa ni sahihikujiita mke wa rais, huyu mke baadaye anaweza kuwa mme wa rais, kiprotokalianakaa wapi? Juu ya makamu au chini.

Nataka tu kujifunza kipi ni sahihi kikatiba, Kuna kitukama mke wa rais? Kama kipo je sio vyema wakati rais anagombea cv yake huyo mkeau mme pia iambatanishwe maana ni mtu ambaye pia ni sehemu ya rais kama ilivyokwa makamu wa rais?

Moja ya sifa ya mgombea urais ni lazima awe na mke au mume sasa unanishaangaza kidogo kusema mke wa Rais ni sehemu ya CV yake pamoja na watoto.....
 
Kwa mfano, hivi ni mke wa rais mama salma kikwete au mke wa rais jakaya kikwete?
 
Ni mke wa Mh Jakaya Kikwete tangu, leo na baadaye na si vinginevyo. Rejea maana ya mke (wife) inatokana na kuolewa, ndoa -tusidhalilishe.
 
Back
Top Bottom