Kwa ushindi huu wa CCM, you can kiss katiba mpya yenye maoni ya wananchi goodbye!
Katiba mbovu ya CCM na mfumo mbovu utaendelea kuitawala nchi hii for the next 50-100yrs.
You will reap what you have sown Tanzania.
One day wajukuu zenu watawashangaa sana nyie vizazi mlotangulia!