Lengeri
Senior Member
- Jul 3, 2009
- 180
- 17
1. Nec ya CCM imekataa suala la kuweka kikomo cha vipindi vitatu kwa wabunge. Badala yake imependekeza mfumo wa sasa wa bila ukomo kuendelee.
2. chama hicho kimekataa pendekezo la mawaziri wasitokane na wabunge na kutaka utaratibu wa sasa wa mawaziri kutokana na wabunge uendelee.
3. Kuhusu mfumo wa Muungano wa serikali tatu, CCM imepinga pendekezo hilo na badala yake kutaka mfumo wa serikali mbili uendelee kama ulivyo sasa.
Pendekezo ya Tume hiyo inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba ya kuwa na uwakilishi wa asilimia 50 kwa 50 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wabunge wanawake na wanaume limekubaliwa na chama hicho tawala.
Source: Nipashe.
cc: Chama, Ritz, Pasco, Nguruv3
2. chama hicho kimekataa pendekezo la mawaziri wasitokane na wabunge na kutaka utaratibu wa sasa wa mawaziri kutokana na wabunge uendelee.
3. Kuhusu mfumo wa Muungano wa serikali tatu, CCM imepinga pendekezo hilo na badala yake kutaka mfumo wa serikali mbili uendelee kama ulivyo sasa.
Pendekezo ya Tume hiyo inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba ya kuwa na uwakilishi wa asilimia 50 kwa 50 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wabunge wanawake na wanaume limekubaliwa na chama hicho tawala.
Source: Nipashe.
cc: Chama, Ritz, Pasco, Nguruv3