Katiba Mpya Dr. Axavery Lwaitama yuko wapi?

bantulile

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,575
Reaction score
604
Katika mjadala mhimu wa kupata Katiba Mpya ni busara kusikia maoni ya Wachambuzi mbalimbali ili wananchi wapate maamuzi sahihi baada ya kusikia maoni mbalimbali. Huyu mzee simsikii popote hata katika midahalo iliyoandaliwa na Taasisi mbalimbali. Yuko wapi? Taasisi zinazoandaa midahalo hii kwa nini hazimwaaliki? Ndiyo kusema hazitambui hazina hii adimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…