Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Source: NIPASHE Ijumaa Januari 28,2011 Uk wa 3
Heading: Spika Aitisha Hoja ya Mnyika ya Katiba
Abstract: Bunge limekubali Mnyika awasilishe maelezo ya hoja ya sheria ya kuratibu mchakato wa kuandika Katiba Mpya!!!!!!!!!!!
Huu ni ushindi mkubwa dhidi ya wajanja waliotaka kuelekeza mchakato kwenye njia huria ili baadaye wauteke nyara na kufikisha taifa kwenye umwagaji damu (bloodshed) kwa kusingizia CDM ndiyo chanzo!!!!!!!!!!!!! USHINDI!!!!!!!!!:msela:
Heading: Spika Aitisha Hoja ya Mnyika ya Katiba
Abstract: Bunge limekubali Mnyika awasilishe maelezo ya hoja ya sheria ya kuratibu mchakato wa kuandika Katiba Mpya!!!!!!!!!!!
Huu ni ushindi mkubwa dhidi ya wajanja waliotaka kuelekeza mchakato kwenye njia huria ili baadaye wauteke nyara na kufikisha taifa kwenye umwagaji damu (bloodshed) kwa kusingizia CDM ndiyo chanzo!!!!!!!!!!!!! USHINDI!!!!!!!!!:msela: