Wana jamii forums
Natoa angalizo kwa mchakato wa katiba mpya kuwa serikalii iangalie kama kuna uwezekanao wa kubadilisha mfumo wa kuchagua viongozi badala ya kupiga kura zoezi ambalo linatumia fedha nyingi sana ya walipa kodi labda tungeaza uaratibu wa "interview" kwa ngazi zote from udiwani to president.
Nawasilisha
Natoa angalizo kwa mchakato wa katiba mpya kuwa serikalii iangalie kama kuna uwezekanao wa kubadilisha mfumo wa kuchagua viongozi badala ya kupiga kura zoezi ambalo linatumia fedha nyingi sana ya walipa kodi labda tungeaza uaratibu wa "interview" kwa ngazi zote from udiwani to president.
Nawasilisha