MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
Pongezi kwa Serikali na tume ya Katiba Mpya
Katika hitimisho la Katiba naomba na haya yazingatiwe:
1.Wakuu wa mikoa wachaguliwe na wananchi kila baada ya miaka mitano wakati wa uchaguzi mkuu na asiwe katika mfumo wa chama cha siasa
2.msajili wa vyama vya siasa naye achaguliwe na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu kila mara bada ya miaka 10 na sio Rais kama ilivyo sasa
3.Siku ya Ijumaa iwe ni mapumziko na kazi zote za kiofisi zianze saa 1:30 asubuhi hadi 11 jion ili kufidia siku ya Ijumaa ila jumamosi ni siku kama kawaida
4.Ikubalike japo Tanzania haina dini bali Bunge na shughuli zote za kiserikali zianze kwa sala ya jumla na kufungwa vivyo hivyo bila kutaja aina ya Mungu au mtume au Mkombozi Yesu.
5.Rais atakayeshinda ni yule tu atakayefikisha asilimia hamsini na kuendelea ya kura zote
6. Idadi ya vyama vya siasa viwe 6 tuu, ili kupunguza ukiritimba wa vyama, kuepuka migogoro ya maslahi kisiasa na pia gharama za kuendesha chaguzi mbalimbali.
Haya ndo yangu kwa sasa wadau
Katika hitimisho la Katiba naomba na haya yazingatiwe:
1.Wakuu wa mikoa wachaguliwe na wananchi kila baada ya miaka mitano wakati wa uchaguzi mkuu na asiwe katika mfumo wa chama cha siasa
2.msajili wa vyama vya siasa naye achaguliwe na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu kila mara bada ya miaka 10 na sio Rais kama ilivyo sasa
3.Siku ya Ijumaa iwe ni mapumziko na kazi zote za kiofisi zianze saa 1:30 asubuhi hadi 11 jion ili kufidia siku ya Ijumaa ila jumamosi ni siku kama kawaida
4.Ikubalike japo Tanzania haina dini bali Bunge na shughuli zote za kiserikali zianze kwa sala ya jumla na kufungwa vivyo hivyo bila kutaja aina ya Mungu au mtume au Mkombozi Yesu.
5.Rais atakayeshinda ni yule tu atakayefikisha asilimia hamsini na kuendelea ya kura zote
6. Idadi ya vyama vya siasa viwe 6 tuu, ili kupunguza ukiritimba wa vyama, kuepuka migogoro ya maslahi kisiasa na pia gharama za kuendesha chaguzi mbalimbali.
Haya ndo yangu kwa sasa wadau