KATIBA MPYA IJE TU!! Kuna Wabunge wazee lakini bado wameng'ang'ia Bungeni.

KATIBA MPYA IJE TU!! Kuna Wabunge wazee lakini bado wameng'ang'ia Bungeni.

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Katiba ijayo itatoa hili tatizo. Kwani kutakuwepo na kipengele cha ukomo wa Ubunge.

Kuna Wabunge umri umekwenda kweli lakini hawataki kuachia kiti cha Ubunge. Mtu kawa mpaka Babu na wengine Bibi lakini wapi bwana. Bado anapambana kupita.

Imefikia wakati Wabunge wanalala tu Bungeni kisa umri na maradhi ya utu uzima. Jamani tuwapishe wengine wenye nguvu.
 
Kuna Mbunge mmoja (Jina ninalo) huko Jimboni kwake wanamuita "BABU" umri umekwenda kweli lakini bado anataka Ubunge!

Nimeambiwa Bungeni huwa hachangii chochote muda mwingi anakuwa India anatibiwa.

Wazee kuleni pension zenu jamani, tuwape nafasi wengine.
 
mi sioni kosa lao wenye makosa ni sisi wananchi kwanini tunawapa kama tunaona awafai tuacheni majungu tuwe tunapiga kula sio kila siku ooooh huyu afai mara nini
 
Back
Top Bottom