Katiba mpya ikipatikana. Lazima kila sheria itamke kifungu cha katiba ambacho sheria hiyo ipo chini yake kwanza

wemamzuri

Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
78
Reaction score
76
Kutokana na mijadala mitandaoni inaonekana tuna SHERIA zinazokinzana au kupora mamlaka ya kifungu cha KATIBA.

Ipasavyo ni kuwa kifungu cha KATIBA kinapaswa kuenziwa/kusujudiwa/ na SHERIA sio kukibana na kubadilisha maana ya kifungu cha KATIBA.

Kabla ya SHERIA kuipitisha lazima kuhakikiwa kama inaitikia NIA YA Kifungu cha KATIBA. Kama SHERIA itakinzana na KATIBA isipitishwe na ikipitishwa iwe batili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…