Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kanuni ni zile zile kwenye uchumi na hata kwenye maisha ya kawaida.
Ili ujenge uchumi wako mfukoni unahitaji kukusanya mapato, kubajeti matumizi na kidhibiti upotevu na matumizi holela ya Fedha zako mwenyewe.
Kwenye upande wa kudhibiti matumizi na kuhakikisha hakuna ukwepaji wa kodi, upotevi wa fedha na hata matumizi mabaya ya fedha za Umma Kenya inang'ara.
Chanzo za mafanikio makubwa Kenya ni Katiba Bora waliyopigania kwa miaka mingi. Katiba inayohakikisha kila mtu anaogopa kupiga fedha za umma.
Ni katiba ambayo inahakikisha Rais aliyeko madarakani hawezi kuwalinda wezi, wala rushwa, maswahiba wafanya biashara wasiowazalendo.
Zaidi ya haya ni kuwa NIS inawezeshwa kufanya kazi kwa ufanisi Mkubwa ikishirikiana na vyombo vingine kama Mahakama, Polisi, Jeshi la Ulinzi na Magavana wa kaunti mbali mbali.
Haiingii Akilini Nchi ndogo kama Kenya yenye Idadi ya Watu 50M inazalisha Mapato zaidi ya watu 120M combined.
Hivi ni vichekesho tena badala ya kuwaonea wivu na kuwachukia tunapaswa kujifunza kwao.
Kenya Ni miongoni mwa Nchi za Afrika mashariki zilizoondoa woga na kujikita kwenye Demokrasia ya kweli. Ingawa bado sio demokrasia kamili na bado ina mapungufu lakini bado ni bora zaidi ukilinganisha Tanzania ,uganda, rwanda na Burundi.
Nchi ya Kenya sasa kuna utulivu, hakuna Chaguzi za marudio zinazotokana na watu kuunga juhudi.
Nchini Kenya Watumishi wa Taasisi za Umma huteuliwa kwa mrengo wa Uwezo, uzoefu, weledi na Uzalendo na sio kwa sababu ya Mapenzi au uanachama wa chama fulani.
Kwa hili kenya imepiga hatua kubwa na itazidi kupaa siku hadi siku.
Tujitafakari sana.
Ili ujenge uchumi wako mfukoni unahitaji kukusanya mapato, kubajeti matumizi na kidhibiti upotevu na matumizi holela ya Fedha zako mwenyewe.
Kwenye upande wa kudhibiti matumizi na kuhakikisha hakuna ukwepaji wa kodi, upotevi wa fedha na hata matumizi mabaya ya fedha za Umma Kenya inang'ara.
Chanzo za mafanikio makubwa Kenya ni Katiba Bora waliyopigania kwa miaka mingi. Katiba inayohakikisha kila mtu anaogopa kupiga fedha za umma.
Ni katiba ambayo inahakikisha Rais aliyeko madarakani hawezi kuwalinda wezi, wala rushwa, maswahiba wafanya biashara wasiowazalendo.
Zaidi ya haya ni kuwa NIS inawezeshwa kufanya kazi kwa ufanisi Mkubwa ikishirikiana na vyombo vingine kama Mahakama, Polisi, Jeshi la Ulinzi na Magavana wa kaunti mbali mbali.
Haiingii Akilini Nchi ndogo kama Kenya yenye Idadi ya Watu 50M inazalisha Mapato zaidi ya watu 120M combined.
Hivi ni vichekesho tena badala ya kuwaonea wivu na kuwachukia tunapaswa kujifunza kwao.
Kenya Ni miongoni mwa Nchi za Afrika mashariki zilizoondoa woga na kujikita kwenye Demokrasia ya kweli. Ingawa bado sio demokrasia kamili na bado ina mapungufu lakini bado ni bora zaidi ukilinganisha Tanzania ,uganda, rwanda na Burundi.
Nchi ya Kenya sasa kuna utulivu, hakuna Chaguzi za marudio zinazotokana na watu kuunga juhudi.
Nchini Kenya Watumishi wa Taasisi za Umma huteuliwa kwa mrengo wa Uwezo, uzoefu, weledi na Uzalendo na sio kwa sababu ya Mapenzi au uanachama wa chama fulani.
Kwa hili kenya imepiga hatua kubwa na itazidi kupaa siku hadi siku.
Tujitafakari sana.