hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Habari Jf
kumekuwa na movement nyingi za kudai katiba mpya Tanzania mitandaoni.
Naskitika kugundua kuwa watu wamekosa vitu vya kudai kabisa hadi wanaanza kulilia katiba mpya.
Pengine mimi sielewi.
Katiba mpya[emoji116]
[emoji117]Inasaidiaje kutatua tatizo la ajira Tz
[emoji117]Inamsaidia nini bibi aliye kijijini (hakuna umeme, maji, kiufupi social services hazipo)
[emoji117]Ina umhimu gani in general katika kusaidia wananchi maskini.
asanteni. Karibu kwa hoja(iliyoshiba)
kumekuwa na movement nyingi za kudai katiba mpya Tanzania mitandaoni.
Naskitika kugundua kuwa watu wamekosa vitu vya kudai kabisa hadi wanaanza kulilia katiba mpya.
Pengine mimi sielewi.
Katiba mpya[emoji116]
[emoji117]Inasaidiaje kutatua tatizo la ajira Tz
[emoji117]Inamsaidia nini bibi aliye kijijini (hakuna umeme, maji, kiufupi social services hazipo)
[emoji117]Ina umhimu gani in general katika kusaidia wananchi maskini.
asanteni. Karibu kwa hoja(iliyoshiba)