Umuhimu wa katiba mpya ni kuwa mifuko ya Hifadhi, hasa sekta binafsi NSSF ni kusimamiwa na vyama vya wafanyakazi
FAO LA KUJITOA ili vijana wanaotaka kutumia intellectual property zao kubuni miradi yao, na kuongeza wigo wa Kodi kwa Taifa.
Pili, Bima ya afya kuwa na viwango vidogo vya afya ili masikini wanyonge wengi waingie