Katiba mpya inaitajika sasa, na muundo wa muungano urekebishwe uendane na mazingira ya sasa na yajayo

Katiba mpya inaitajika sasa, na muundo wa muungano urekebishwe uendane na mazingira ya sasa na yajayo

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Nadhani katiba ya Mgeleza Malikia Eliza kwa miaka takribani sabini sasa inatosha, ipo haja ya kuwa na katiba ya watanzania na si ya Mgeleza wala wanasiasa.
Pia swala la muungano litazamwe upya kwa maslai mapana, aidha ya Tanganyika na Zanzibar au Tanzania.
Kuchelewa au Kusimamisha lolote kati ya haya ni sawa na kujidanganya kusimamisha muda.
 
Nadhani katiba ya Mgeleza Malikia Eliza kwa miaka takribani sabini sasa inatosha, ipo haja ya kuwa na katiba ya watanzania na si ya Mgeleza wala wanasiasa.
Pia swala la muungano litazamwe upya kwa maslai mapana, aidha ya Tanganyika na Zanzibar au Tanzania.
Kuchelewa au Kusimamisha lolote kati ya haya ni sawa na kujidanganya kusimamisha muda.
Swala la Katiba Mpya ya wananchi halikwepeki.
 
Back
Top Bottom