Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya chama chenu cha mambuzz mnatakiwa kuyajadili kwenye vikao vyenu vya ndani.Ili kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
@Tate Mkuu, umempa za uso, mambo yao ya mambuzi, wayamalizie huko kwenye zizi lao, sio humuHaya mambo ya chama chenu cha mambuzz mnatakiwa kuyajadili kwenye vikao vyenu vya ndani.
Kuyaleta humu jukwaani, ni sawa tu na kuwakosea adabu mamilioni ya wananchi wasiohusika kabisa na hicho chama chenu.
Na kama utakuwa unaiongelea Katiba mpya ya wananchi, basi unatakiwa kupimwa akili. Maana haina kabisa uhusiano na hiyo takataka yenu.
Lumumba Pana watu pale😃😃😃Du................huu mdundiko wa Katiba Mpya wameigia hata wapiga debe wasiojua mdundiko ulikotoka wala unakoelekea!!
I say, humu JF kuna watu nadhani hata shule mlikimbia. Yaani wewe huelewi hata kwamba mambo ya vyama hayaingii kwenye Katiba ya Tanzania tuanze kukufahamisha hilo? Halafu utakuta watu kama nyie ndio mnakuwa wabishi kweli kwa thread zinazoanzishwa na maprofesa humu JF hadi mnafanya watu kuacha kuwa active JF mnawaboa na poin zenuIli kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
Na wewe unaitaka katiba mpya? Sasa kumbe huwa unajificha kumbe una jambo lako?Ili kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
😅😅😅Juma Masoud Faki, vipi ulipata nyama jana ?