Salathiel m.
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 185
- 41
Kutokana na madudu yanayofanywa na baadhi ya viongozi waandamizi selikalini,katiba mpya inayoendelea na mchakato wam kuandaliwa ingeruhusu kukodisha viongozi toka nchi za nje viongozi kama Rais,waziri mkuu na mawaziri wa wizara mbalimbali kama NISHATI NA MADINI.Hata wakurugenzi mbalimbali. hii italeta maendeleo ya fasta na ndio maana Kagame na Museveni walisema wapewe Tanzania miaka 2 tu alafu muone. mbona Museveni anamtumia Prof LIPUMBA?
Ni mtazamo tu!
Ni mtazamo tu!