Katiba mpya itupe haki watumishi wa serikali haki ya kugombea vyeo vya kisiasa

chishango

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2009
Posts
854
Reaction score
362
wadau napendekeza katiba mpya itupe haki sisi watumishi wa serikali tunaoipenda CDM fursa ya kugombea vyeo vya kisiasa kama udiwani na ubunge bila kulazimika kuacha kazi ....wapenda mabadiliko tupo pamoja tutaihujumu hii serikali ya ccm hadi ifutike kwenye ramani ya nchi hii
 

thubutu yako .... labda ukagombee kwa tiketi ya CCM na sio CDM
 
Naunga hoja kwa100%:A S 20:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…