katiba mpya iwe imara kweli!

katiba mpya iwe imara kweli!

mashakaDaima

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
38
Reaction score
5
mchakato wa katiba uliokuwa ukiendeshwa na tume ya katiba nchi nzima unategemewa kutoa suluhisho juu ya maoni mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa na wananchi mbalimbali ili kwamba yale yatakayoamliwa yaendane na matwaka ya wananchi na si kwa viongozi peke yao. Ktiba mpya iwe ni kwa ajili ya kuijenga nchi na kwa maendeleo ya wananchi wote!
 
Hayo ndio mategemeo ya wa TZ walioshiriki katika kutoa maoni yao.
kwa wale waliojifanya bizzze litakaloamuliwa lazima wakubaliane nalo
 
Back
Top Bottom