Katiba mpya iwe na uwezo wa kujisimamia kama katiba

Katiba mpya iwe na uwezo wa kujisimamia kama katiba

meidimu sirkon

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
202
Reaction score
37
Napendekeza kuwa Katiba mpya iwe na kifungu cha kujisimamia kama Katiba ili kutoa adhabu kwa viongozi na watawala wanaounja katiba waziwazi na hili liwezekane kuunda jopo la Katiba kutoka Kanda kuu za Tz yaani Kaskazini, Kusini Magharibi, Pwani, Kanda ya ziwa na kati ya nchi jumla yao iwe watano (5)
 
Back
Top Bottom