Kama uganda wamewez
kwanini tanzania tuciweze bunge la kathba limeanza
tunaomba wanabunge mtuweke wazi mcimamo wa mashoga nchini mwetu
wengi wanateceka lakini tukiwa na sheria imara upumbavu wa mashoga autakuwepo tanzani
jana waziri mmoja wa uganda ameweka wazi kama uhusiano kuvunjika na marekan na uvunjike akasema huyo rais mbona awamrukii ukuta iweje anataka watoto wetu warukiwe ukuta
tulicheka lakn mbunge huyu alicema kwa hasira sana