Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Tume ya Jaji Warioba imeshaanza kupokea maoni ya vyama vya siasa nchini juu ya nini hasa kiwepo na kiwepo kwa namna gani katika Katiba mpya.
Kwa mawazo yangu,naiona hatua hii kama ni hatua ya mwishomwisho kuelekea kuandikwa kwa Rasimu ya Katiba hiyo mpya.
Lakini,tupo wananchi tuliotamani kutoa maoni yetu lakini hatukufikiwa. Hivi,kukusanya maoni ndio kumeisha? Ndio yaleyale ya Sensa kwamba hata asiyefikiwa nyumbani kwake naye alihesabiwa?
Tusaidiane kujadili wana-JF
Kwa mawazo yangu,naiona hatua hii kama ni hatua ya mwishomwisho kuelekea kuandikwa kwa Rasimu ya Katiba hiyo mpya.
Lakini,tupo wananchi tuliotamani kutoa maoni yetu lakini hatukufikiwa. Hivi,kukusanya maoni ndio kumeisha? Ndio yaleyale ya Sensa kwamba hata asiyefikiwa nyumbani kwake naye alihesabiwa?
Tusaidiane kujadili wana-JF