Katiba mpya kupatikana baada ya 2015

Katiba mpya kupatikana baada ya 2015

Sipendi Ubepari

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2012
Posts
249
Reaction score
40
ITV leo imemwonesha m/kiti wa Jukwaa la Katiba Bw.Deus Kibamba akidai kuwa kamwe kwa hali iliyopo hatutaipata katiba mpya 2014. Na kuwa utawala haujaliweka bayana hilo. MADHARA YAKE NI VITA IWAPO WANANCHI WATAAMBIWA HILO DAKIKA ZA MWISHO KUKARIBIA 2015. Je! Utawala unafanya hivyo makusudi kwa maslahi ya ccm?. Je! KIKWETE anadhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya Tanzania?. KARIBU KWA MICHANGO
 
aiseeeeeee ndugu yangu hapa damu itamwangika mimi mwenyewe nitamwaga damu ya mtu
 
Binafsi naamini kuwa katiba mpya haitapatikana kabla ya 2015 kwa sababu zifuatazo:

1) Msigano wa maoni juu ya muungano. Huku ikionekana kuwa kuna kundi kubwa la raia Tz bara na visiwani wanaotaka mabadiliko ya mfumo wa muungano, viongozi wa serikali na CCM hawataki kuona maoni hayo yakipata nafasi yakuingizwa kwenye katiba mpya.

2) Kuwepo ama kutokuwepo kwa baadhi ya mambo yanayofavour makundi fulani ya jamii mfano, mahakama ya kadhi ktk kadiba ni kitendawili ambacho kinaweza kugawa raia katika makundi mawili ya kidini na hivyo kupinga katiba mpya kwenye kura ya maoni.

Kwa hiyo, kitu ambacho kitapelekea katiba mpya isifanikiwe ni kwanza dola lakini wananchi wenyewe wanaweza kuwa kikwazo ikiwa % kubwa wataikataa.

Tutoe maoni yetu and let's wait and see!
 
Ccm wasithubutu kutuchezea akili zetu!! Lazima kieleweke kabla ya 2015!! Vinginevyo......!!! Nyambafu sana hawa!!
 
Nchi hii ni ya Ajabu kabisa ... Issue ya muhimu kwa mustakabali wa nchi inaendeshwa kinyemela bila time flame na watu wako kimya... Wakiwa masikini wanalalamika ... Mtapataje utaratibu kama Hamna katiba ya maana ? Kazi kushanikia Mambo ya kijinga ... Ohoooo Kinana ? Ohoo Mangula ohoo Membe Ohoo lowasa ujinga mtupu..

Kama hatutaweka utaratibu Mzuri wa kuongoza nchi kuanzia mamlaka ya Raisi, mgawanyo wa madaraka,tume huru ya uchaguzi nk tutaishia kuibiwa rasilimali Zetu mpaka tuchakae...

Tubadilike... CCM haitaki mabadiliko ya katiba. Period
 
Uvumilivu unakikomo ndugu yangu. Hapo ndipo umma utakapotoa hukumu kwa watawala

Wabongo ni waoga sana, Uvumilivu upi huo? Watu tunabakia kulalamika Vijiweni, Baa, Maofisini na kwenye Mitandao, Lakini ikija kwa Vitendo hata kuandamana watu hubakia kusimama Pembeni ya Barabara na kuwashangaa wanao andamana,

Tanzania ndo inaogoza kwa wanachi wake kuwa waoga ikifuatiwa na India
 
Nchi hii ni ya Ajabu kabisa ... Issue ya muhimu kwa mustakabali wa nchi inaendeshwa kinyemela bila time flame na watu wako kimya... Wakiwa masikini wanalalamika ... Mtapataje utaratibu kama Hamna katiba ya maana ? Kazi kushanikia Mambo ya kijinga ... Ohoooo Kinana ? Ohoo Mangula ohoo Membe Ohoo lowasa ujinga mtupu..

Kama hatutaweka utaratibu Mzuri wa kuongoza nchi kuanzia mamlaka ya Raisi, mgawanyo wa madaraka,tume huru ya uchaguzi nk tutaishia kuibiwa rasilimali Zetu mpaka tuchakae...

Tubadilike... CCM haitaki mabadiliko ya katiba. Period

Hapo siongezei kitu mkuu
 
Huu ni mwanya wa kusogeza uchaguzi mkuu ujao beyond 2015 kwa hoja ambazo zitashinda; Nani atafaidika? It will remain to be seen;
 
Nchi hii ni ya Ajabu kabisa ... Issue ya muhimu kwa mustakabali wa nchi inaendeshwa kinyemela bila time flame na watu wako kimya... Wakiwa masikini wanalalamika ... Mtapataje utaratibu kama Hamna katiba ya maana ? Kazi kushanikia Mambo ya kijinga ... Ohoooo Kinana ? Ohoo Mangula ohoo Membe Ohoo lowasa ujinga mtupu..

Kama hatutaweka utaratibu Mzuri wa kuongoza nchi kuanzia mamlaka ya Raisi, mgawanyo wa madaraka,tume huru ya uchaguzi nk tutaishia kuibiwa rasilimali Zetu mpaka tuchakae...

Tubadilike... CCM haitaki mabadiliko ya katiba. Period

Watanzania Ni waoga na Mazuzu sana, Nakumbuka wakati wa Mchakato wa KATIBA ya Kenya Nilikuwa naishi kwenye Mpaka wa Namanga, Wakenya walikuwa wanafuatilia Katiba si Mchezo, na ni lika zote, Ukiwakua wauza Mbogamboga walikuwa bise na Katiba, Madreva, Mafundi wa Pikipiki, wadada, na ndo maana Kenya ikapata katiba iliyo bora kabisa na ya aina yake,

Sasa njoo Tanzania, Hebu nenda pale Kariakoo jaribu kuwauliza wauza vitu pale mchakato wa katiba unaendaje, watakuambia hawajui chochote na haiwahusu, Kawaulize hata Wanafunzi wa Vyuo vikuu wengi wao kama sio wote hawajui hata kama kuna kitu cha aina hiyo kinaendelea,

Kenya vyuo vikuu ndo kulikuwa kitovu cha harakati za Katiba kenya, Ila Tanzania ni Tofauti kabisa, sasa mnategemea nini?
 
Mabadiliko ya Katiba hayakuwa katika ilani ya uchaguzi ya ccm. Yalikuwa yapo katika ilani ya Chadema. Nisera iliyoasisiwa na CDM. Kwa vyoyote vile dola haipendi kabisa kitu hicho. Kumbuka kauli ya Celina Kombani na Jaji Werema! Kumbuka JK alivyolidaka na kujaribu kulikimbiza harakaharaka ili tupate kitu feki! Mabadiliko katika nchi hii hayawezekani bila Katiba mpya. Ni interest ya watawala kuwa katiba isibadilike positive sana kwani inaweka system yao mashakani. Na ikibaki kama ilivyo inahakikishia ccm ushindi 2015. Kwao ni vizuri uchaguzi ufanyike kwa hii ya kale na mchakato uendelee baada ya uchaguzi.
 
Huu ni mwanya wa kusogeza uchaguzi mkuu ujao beyond 2015 kwa hoja ambazo zitashinda; Nani atafaidika? It will remain to be seen;

Heri watawala waanze mapema kuutangazia umma mapema juu ya upatikanaji/kutopatikana katiba mpya kabla ya 2015 kama alivyoshauri Kibamba, vinginevyo ccm wataiingiza nchi kwenye machafuko makubwa mno.
 
Hatuna haja ya kumwaga damu sababu ndio tutaongeza UADUI na UMASIKINI maan kila mtu atataka kulipiza kisasi kwa yeyote aliekuwa karibu yake na kuuawa.
Tujifunze Kenya,na nchi nyingine mapigano si sawa wataokufa ni MASIKINI maana likianza tu MATAJIRI hao nje ya nchi,viongozi huwa hawafi kwenye machafukooo.
 
Mabadiliko ya Katiba hayakuwa katika ilani ya uchaguzi ya ccm. Yalikuwa yapo katika ilani ya Chadema. Nisera iliyoasisiwa na CDM. Kwa vyoyote vile dola haipendi kabisa kitu hicho. Kumbuka kauli ya Celina Kombani na Jaji Werema! Kumbuka JK alivyolidaka na kujaribu kulikimbiza harakaharaka ili tupate kitu feki! Mabadiliko katika nchi hii hayawezekani bila Katiba mpya. Ni interest ya watawala kuwa katiba isibadilike positive sana kwani inaweka system yao mashakani. Na ikibaki kama ilivyo inahakikishia ccm ushindi 2015. Kwao ni vizuri uchaguzi ufanyike kwa hii ya kale na mchakato uendelee baada ya uchaguzi.

Kuna haja ya kuanza kuitisha maandamano ya kudai TUME HURU YA UCHAGUZI 2015 iwapo katiba mpya itakwama kupatikana 2014
 
ITV leo imemwonesha m/kiti wa Jukwaa la Katiba Bw.Deus Kibamba akidai kuwa kamwe kwa hali iliyopo hatutaipata katiba mpya 2014. Na kuwa utawala haujaliweka bayana hilo. MADHARA YAKE NI VITA IWAPO WANANCHI WATAAMBIWA HILO DAKIKA ZA MWISHO KUKARIBIA 2015. Je! Utawala unafanya hivyo makusudi kwa maslahi ya ccm?. Je! KIKWETE anadhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya Tanzania?. KARIBU KWA MICHANGO

Kwenye red: Naamini siko mwenyewe kusema huyo bwana Deus ni aina ya Shibuda! Hata ukimtazama usoni wakati anaongea ni wazi yuko kwenye 'payroll'. Hapo ametumwa kujaribisha idea ya katika kutokamilika by 2015 ili wakubwa wajue response ya wananchi!

Itoshe tu nikisema simuamini hata kidogo huyo bwana!
 
Hatuna haja ya kumwaga damu sababu ndio tutaongeza UADUI na UMASIKINI maan kila mtu atataka kulipiza kisasi kwa yeyote aliekuwa karibu yake na kuuawa.
Tujifunze Kenya,na nchi nyingine mapigano si sawa wataokufa ni MASIKINI maana likianza tu MATAJIRI hao nje ya nchi,viongozi huwa hawafi kwenye machafukooo.

The Hague itapata wateja wengi sana toka TZ hapo 2016 kwa sababu hatutakubali dhuluma hii. ELEWA KUWA TUNAFANYIWA HIVI KWA MASLAHI YA MAFISADI WALIOFICHA FEDHA Uswiss
 
Back
Top Bottom