TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Hawa watu wanakuwaga ni tatizo sana. na huwa wanakuwa jeuri mno kwa mamlaka zingine za nchi ila tu wanakuwa watiifu kwa aliyewachagua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu wanakuwaga ni tatizo sana. na huwa wanakuwa jeuri mno kwa mamlaka zingine za nchi ila tu wanakuwa watiifu kwa aliyewachagua
Hilo jambo ni kubwa katika Nchi zetu za Dunia ya tatu ni tatizo,ila katika nchi za wenzetu hakuna.(ulaya)
1.Una mchagua mtu akuwakilishe ktk masuala fulani ukitambua unamjua sababu mlisoma naye,yeye ndiyo anakuangusha.
2.Pia anajua huwezi kumfanya lolote sababu utamwonea haya na mnaongea kabila moja.
* Ulaya hakuna sababu ukabila hakuna,lugha ni moja na ndugu yako ni yule anayeweza kukuletea faida katika kazi/biashara yako(hata kama siyo ndugu).
Hivyo bado tuna safari ndefu katika kumaliza hili.