Katiba mpya, lazima mahakama ya kisilamu iwepo Tanzania

U mean 'SHARIA' to take place...
 
U mean 'SHARIA' to take place...

Sharia, watu awaswali, wanachua wake za watu, wanaruka ukuta, awafanyi kazi, wanarubuniwa na wanasiasa kusema uongo. Dawa yao katiba mpya
 

Sharia, watu awaswali, wanachua wake za watu, wanaruka ukuta, awafanyi kazi, wanarubuniwa na wanasiasa kusema uongo. Dawa yao katiba mpya

Lo! ha ha haaaa, ni wengi watakaochinjwa ha ha haa..
 
Bt waswahili husema ...samaki mkunje angali mbichi,
KWA HAWA VIUMBE WA RIKA LETU KUWAKANDAMIZA NA MIJEREDI...don't u think kuwa watakimbilia haki za binaadamu na ama wengine 'kuritadi' ??
Dini ni ngumu saaaana atiiiiii.
 
Haahaahaahaaaaaaaaaa, nimefurahishwa na mada hii hasa hizi photo. Kumbe kutekeleza sharia ni dhambi?, yes ni dhambi ndo maana mtekelezaji huficha sura.............
 
Haahaahaahaaaaaaaaaa, nimefurahishwa na mada hii hasa hizi photo. Kumbe kutekeleza sharia ni dhambi?, yes ni dhambi ndo maana mtekelezaji huficha sura.............

Mtu anajitahidi kuzuia dhambi kwa kutenda dhambi, kaaazi kweli kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…